HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea Taifa

HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea Taifa

Yaani huyu Halima Mdee namfagilia saana. Kama hajaolewa mwambieni ani-PM. Atakuwa mke mzuri kwangu, ananifaa..
 
Dalili ya wivu,kusolve migogoro ya ardhi nayo ni maendeleo au hujui? nenda kawe ukaone mwenyewe tofauti ya kawe ya Ritta mlaki na y Halima james Mdee.
We unakaa madongo poromoka nini?
Jimbo la Kawe linaendelezwa na watu wenyewe bila input yoyote toka huyo Halima.
Ni kilaza kwa ufupi, kama unabisha lete mradi MMOJA TU aliowahi kulobby miaka yake mitano ya kupasha joto kiti cha ubunge.
 
Halima na Ester Bulaya nawakubali sana na pia hawa ni marafiki ukiachilia mbali wametoka vyama tofauti
 
Kila siku najutia kumpa kura yangu Kawe...hayupo alive jimboni kama Mnyika alivyo na jimbo lake la Ubungo pamoja na majuku makubwa aliyo nayo kichama! Mdee huyo aliyeongelewa na mwanzisha thread hii...siye Mdee nmjuaye mimi kama mwanaKawe na mwanaChadema. Ana bahati Mbatia hagombanii Kawe mwakani, angempiga bao kilainiii..
 
Ni kweli Halima hana makeke ila nilishangaa kusikia kuwa Waziri Tibaijuka kafika Mabwepande na kukagua viwanja, wakati Mbunge wao Halima Mdee hajawahi kukanyaga hata siku moja. Sasa hapo anayefanya kazi kwa maslahi ya Taifa ni nani?
 
Prof Tibaijuka akisikia jina la Halima Mdee anapata kisebu sebu na kiroho papo
Ni kweli Halima hana makeke bse yuko anahaha baada ya kuagizwa na Spika wa Bunge kuleta ushahidi wa tuhuma dhidi ya waziri Tibaijuka
 
We unakaa madongo poromoka nini?
Jimbo la Kawe linaendelezwa na watu wenyewe bila input yoyote toka huyo Halima.
Ni kilaza kwa ufupi, kama unabisha lete mradi MMOJA TU aliowahi kulobby miaka yake mitano ya kupasha joto kiti cha ubunge.

'Mnyongeni mnyongeni lakini haki yake mpeni', Madala hadi mivumoni siku hizi tuna maji ya bomba, hata kama yanatoka mara mbili kwa wiki lakini amethubutu, na kwa hakika amefanikisha, kwani dumu la maji lilisha paa hadi 500. ukizingatia kipato chetu ndo hivo chini ya dola kwa siku!
 
'Mnyongeni mnyongeni lakini haki yake mpeni', Madala hadi mivumoni siku hizi tuna maji ya bomba, hata kama yanatoka mara mbili kwa wiki lakini amethubutu, na kwa hakika amefanikisha, kwani dumu la maji lilisha paa hadi 500. ukizingatia kipato chetu ndo hivo chini ya dola kwa siku!
Usishikilie unyasi wa sifa mkuu.
Hiyo miradi imebuniwa hata kabla Halima hajamaliza shule!!
Halafu kwa miaka mitano mtu unajigamba kwa miradi iliyokwenye pipeline, kama ni maji hata kwangu bomba la mchina limepita.

mwambieni yeye mwenyewe Halima ajitendee haki na ajitangaze kwa miradi ailoasisi kwa mafanikio.
 
Ukizingatia jinsi alivyoupata Ubunge, hiyo ndiyo namna pekee ya kufanya ili aendelee japo kwa miaka mingine mitano. Muda umeisha hivyo!
 
We unakaa madongo poromoka nini?
Jimbo la Kawe linaendelezwa na watu wenyewe bila input yoyote toka huyo Halima.
Ni kilaza kwa ufupi, kama unabisha lete mradi MMOJA TU aliowahi kulobby miaka yake mitano ya kupasha joto kiti cha ubunge.

Una dhani kuna gamba anae furahishwa na anayo yafanya mdee? sishangai mkiponda but ukweli una julikana majimbo yote yenye wabunge wa cdm yana ongoza kwa maendeleo kuliko yale ya chama cha mafisadi.
 
Usishikilie unyasi wa sifa mkuu.
Hiyo miradi imebuniwa hata kabla Halima hajamaliza shule!!
Halafu kwa miaka mitano mtu unajigamba kwa miradi iliyokwenye pipeline, kama ni maji hata kwangu bomba la mchina limepita.

mwambieni yeye mwenyewe Halima ajitendee haki na ajitangaze kwa miradi ailoasisi kwa mafanikio.

Sasa mkuu mbona jibu unalo, kwani toka ibuniwe mpaka aje kuwa mbunge imepita miongo mingapi? na je wawakilishi hawakuwepo? kazi ya mbunge nadhani ni pamoja na kuhamasisha jambo lililo kwenye plan litekelezwe, siyo kubuni tu miradi mipya; mkuu with due respect hebu tumpongeze kwamba hiyo plan basi imefanikiwa ndani ya muhula wake. ....
 
Kama ni mama Tiba ya Kujuka pekee bla Madame Mdee mambo yangekuwa bado sana. We PIMBI acha wivu mbona 2na migogoro mingi kwenye majimbo ya ccm haijata2liwa hadi sasa au Tiba ya Kujuka hayupo?

kama ipi
 
halima mdee na zitto kabwe wanalo jambo. Hata ester bulaya nae wana siri kubwa.
 
Khaa mie Halima Mdee namkubali sana huwa napenda kumsikiliza akiwa anaongea, akimaliza kwa kweli huwa najisikia faraja kubwa
 
Back
Top Bottom