Halima Mdee Live Ndani ya Ukonga Jumapili hii...

Halima Mdee Live Ndani ya Ukonga Jumapili hii...

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2008
Posts
10,565
Reaction score
7,988
Salam wadau wa JF.

Ningependa kuwafahamisha kuwa kesho Jumapili ya tarehe 12/01/2014 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika mtaa wa MAZIZINI Kata ya UKONGA Jimbo la Uchaguzi la UKONGA.

Mkutano huo unatarajiwa kuanza muda wa saa Nane kamili mchana katika viwanja vya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mazizini iliyopo karibu kabisa na ofisi ya CHADEMA Tawi la MAZIZINI.

Mgeni wa heshima katika mkutano huo anatarajiwa kuwa kamanda Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), ambaye ataambatana na Kamanda Henry Kilewo (Katibu wa Chadema Mkoa wa Kinondoni).

Wadau wote wa kata ya Ukonga na maeneo ya jirani mnakaribishwa mje kumsikiliza Waziri Kivuli wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumzia mambo mbali mbali ya kitaifa hususan migogoro ya ardhi ambapo mitaa miwili ya kata ya Ukonga-Mtaa wa Mazizini na Mtaa wa Mongolandege kuna kashfa za kuuzwa kwa ardhi ya wananchi (eneo la ofisi za serikali za mitaa), ambazo zimeuzwa na wenyeviti wa mitaa husika ambao wote ni wanachama wa chama kile kile cha mafisadi, wezi na wabakaji.

PEOPLESSSSSS....POWERRRRRR!!!
 
Last edited by a moderator:
Safi sana, hakuna kulala popote ulipo waambie watu wahakikishe wanajiandaa kufanya mageuzi. HII NDIO KAULI MBIU YA MWAKA 2014
 
Ninaposikia kamanda Mdee yupo na Kamanda mpole ila usijisogeze kwenye anga zake kamanda Kilewo najua hapo mtatamani mkutano usiishe...
 
Hayo ndo maneno sasa, lazma watu waelezwa uhusiano uliopo kati yao na matatizo yao ya kila ck na utendaji wa kifedhuli Wa srkl ya maccm
 
huyu bidada cjamsikia Siku nyingi jukwaani,kesho ntajongea pande hizo
 
Salam wadau wa JF.

Ningependa kuwafahamisha kuwa kesho Jumapili ya tarehe 12/01/2014 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika mtaa wa MAZIZINI Kata ya UKONGA Jimbo la Uchaguzi la UKONGA.

Mkutano huo unatarajiwa kuanza muda wa saa Nane kamili mchana katika viwanja vya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mazizini iliyopo karibu kabisa na ofisi ya CHADEMA Tawi la MAZIZINI.

Mgeni wa heshima katika mkutano huo anatarajiwa kuwa kamanda Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), ambaye ataambatana na Kamanda Henry Kilewo (Katibu wa Chadema Mkoa wa Kinondoni).

Wadau wote wa kata ya Ukonga na maeneo ya jirani mnakaribishwa mje kumsikiliza Waziri Kivuli wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumzia mambo mbali mbali ya kitaifa hususan migogoro ya ardhi ambapo mitaa miwili ya kata ya Ukonga-Mtaa wa Mazizini na Mtaa wa Mongolandege kuna kashfa za kuuzwa kwa ardhi ya wananchi (eneo la ofisi za serikali za mitaa), ambazo zimeuzwa na wenyeviti wa mitaa husika ambao wote ni wanachama wa chama kile kile cha mafisadi, wezi na wabakaji.

PEOPLESSSSSS....POWERRRRRR!!!

Ebu muulize mbunge wetu Halima Mdee vipi amepotea jimbo mpaka aende Ukonga wakati Kawe tunamtafuta.
 
Mi ninavyojua HALIMA MDEE yupo upande wa ZITTO na ndio maana siku zote za vurugu ndani ya CDM hakutaka kujishughulisha kabisa.
 
Salam wadau wa JF.

Ningependa kuwafahamisha kuwa kesho Jumapili ya tarehe 12/01/2014 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika mtaa wa MAZIZINI Kata ya UKONGA Jimbo la Uchaguzi la UKONGA.

Mkutano huo unatarajiwa kuanza muda wa saa Nane kamili mchana katika viwanja vya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mazizini iliyopo karibu kabisa na ofisi ya CHADEMA Tawi la MAZIZINI.

Mgeni wa heshima katika mkutano huo anatarajiwa kuwa kamanda Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), ambaye ataambatana na Kamanda Henry Kilewo (Katibu wa Chadema Mkoa wa Kinondoni).

Wadau wote wa kata ya Ukonga na maeneo ya jirani mnakaribishwa mje kumsikiliza Waziri Kivuli wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumzia mambo mbali mbali ya kitaifa hususan migogoro ya ardhi ambapo mitaa miwili ya kata ya Ukonga-Mtaa wa Mazizini na Mtaa wa Mongolandege kuna kashfa za kuuzwa kwa ardhi ya wananchi (eneo la ofisi za serikali za mitaa), ambazo zimeuzwa na wenyeviti wa mitaa husika ambao wote ni wanachama wa chama kile kile cha mafisadi, wezi na wabakaji.

PEOPLESSSSSS....POWERRRRRR!!!

Nitakuja kumuangalia kamanda Kilewo maana ni siku nyingi kitambo toka atoke Jela sijahudhuria mikutano yake zaidi ya kuambia.
 
Last edited by a moderator:
Mi ninavyojua HALIMA MDEE yupo upande wa ZITTO na ndio maana siku zote za vurugu ndani ya CDM hakutaka kujishughulisha kabisa.

Kafie mbele huko hapa hatumzungumzii zzk habari imekwisha isha yeye sasa ni mbunge wa mahakama na ni mwanachama wa mahakama, unakata kumlinganisha na hawa makamanda? Aisee nakuonea huruma unavyoumia ulidhani angeweza kupambana na nguvu ya umma
 
Kafie mbele huko hapa hatumzungumzii zzk habari imekwisha isha yeye sasa ni mbunge wa mahakama na ni mwanachama wa mahakama, unakata kumlinganisha na hawa makamanda? Aisee nakuonea huruma unavyoumia ulidhani angeweza kupambana na nguvu ya umma
Ha ha haaaaa…nimeipenda hii
 
Last edited by a moderator:
Kamanda katatue kero za wananchi kwani TZ haki ni ngumu sana kupatikana. Watu wanafuatilia hati zao wizarani mwaka hadi mwaka utatusaidiaje kamanda?
 
kawe kwenyewe anatafutwa aonekani, tunasubilia sanduku la vote ili tumuonyeshe atuchagui chama, tunaangalia uwezo wa mtu. ngoja tumpe mbatia, tulifanya ujinga wakati wa kwenda, na hatutofanya ujinga huo wakat wa kurud
 
Naomba atueleze yupo CDM ipi ya kamanda zitto au kamanda mbowe..?
 
Kafie mbele huko hapa hatumzungumzii zzk habari imekwisha isha yeye sasa ni mbunge wa mahakama na ni mwanachama wa mahakama, unakata kumlinganisha na hawa makamanda? Aisee nakuonea huruma unavyoumia ulidhani angeweza kupambana na nguvu ya umma
Khaa!! Mkitajiwa ZZK tu nya inagonga chupiz. Jembe hili litawaua kwa pressure. Na bado mtaona mziki wake soon
 
Back
Top Bottom