Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Halima ni kamanda wa ukweli xana hawezi kumsapoti msaliti au ww unataka kila m2 awe msemaji wa chama?
Safi sana, hakuna kulala popote ulipo waambie watu wahakikishe wanajiandaa kufanya mageuzi. HII NDIO KAULI MBIU YA MWAKA 2014
Ninaposikia kamanda Mdee yupo na Kamanda mpole ila usijisogeze kwenye anga zake kamanda Kilewo najua hapo mtatamani mkutano usiishe...
pamoja sana makamanda...
Hayo ndo maneno sasa, lazma watu waelezwa uhusiano uliopo kati yao na matatizo yao ya kila ck na utendaji wa kifedhuli Wa srkl ya maccm
huyu bidada cjamsikia Siku nyingi jukwaani,kesho ntajongea pande hizo
Aisiiii lazima niingize timu! yaaani Mdeee! acha kabisa.
Nitakuja kumuangalia kamanda Kilewo maana ni siku nyingi kitambo toka atoke Jela sijahudhuria mikutano yake zaidi ya kuambia.
Khaa!! Mie nitatia timu. Naipenda sana sauti yake.
Asante sana.Tutajitahidi kuwepo.
Kamanda katatue kero za wananchi kwani TZ haki ni ngumu sana kupatikana. Watu wanafuatilia hati zao wizarani mwaka hadi mwaka utatusaidiaje kamanda?
Ebu muulize mbunge wetu Halima Mdee vipi amepotea jimbo mpaka aende Ukonga wakati Kawe tunamtafuta.
Atatumia mkutano huo kutangaza nia yake ya kujitoa chadema?Salam wadau wa JF.
Ningependa kuwafahamisha kuwa kesho Jumapili ya tarehe 12/01/2014 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika mtaa wa MAZIZINI Kata ya UKONGA Jimbo la Uchaguzi la UKONGA.
Mkutano huo unatarajiwa kuanza muda wa saa Nane kamili mchana katika viwanja vya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mazizini iliyopo karibu kabisa na ofisi ya CHADEMA Tawi la MAZIZINI.
Mgeni wa heshima katika mkutano huo anatarajiwa kuwa kamanda Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), ambaye ataambatana na Kamanda Henry Kilewo (Katibu wa Chadema Mkoa wa Kinondoni).
Wadau wote wa kata ya Ukonga na maeneo ya jirani mnakaribishwa mje kumsikiliza Waziri Kivuli wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumzia mambo mbali mbali ya kitaifa hususan migogoro ya ardhi ambapo mitaa miwili ya kata ya Ukonga-Mtaa wa Mazizini na Mtaa wa Mongolandege kuna kashfa za kuuzwa kwa ardhi ya wananchi (eneo la ofisi za serikali za mitaa), ambazo zimeuzwa na wenyeviti wa mitaa husika ambao wote ni wanachama wa chama kile kile cha mafisadi, wezi na wabakaji.
PEOPLESSSSSS....POWERRRRRR!!!
POLE NDUGU YANGU KWA KUFANYA KAZI YA REDET. Endelea kupima idadiya wanachama wa cdm kwa kutumia usafi wa bendera na peleka taarifa Lumumba buk 7,cdm inasonga mbele.Nimepita mombasa nikiwa nakwenda moshi bar jamani zile bendera zenu kuna sehemu zimebakia nyuzi nyuzi tu ndo zinapepea utadhani Tandu za buibui. Ndo mambo ya ruzuku matawi ya juu tu nini?
Nimepita mombasa nikiwa nakwenda moshi bar jamani zile bendera zenu kuna sehemu zimebakia nyuzi nyuzi tu ndo zinapepea utadhani Tandu za buibui. Ndo mambo ya ruzuku matawi ya juu tu nini?
Chadema kwanza Zitto tayari!