Halima Mdee Live Ndani ya Ukonga Jumapili hii...

Halima Mdee Live Ndani ya Ukonga Jumapili hii...

Tulia wewe kubwa jinga ungesikia hutuba ya kamanda kilewo ungejiona m.c.h.u.m.b.a sana kuongea upuuzi hapa... kubwa.. j.i.n.g.a kama wewe.. hongera Kilewo wewe ni level zingine...

gaidi kilewo amekimbia jimbo la maghembe baada ya kuchemsha naona sasa anatapatapa tu.alifikiri atapewa kick kwa kumtukana zitto.huyu kilewo amechanganyikiwa.mke wake anamtukana mbowe lakn yuko kimya tu.huyu anakisaliti chama
 
jamani makamanda.kwa nini mke wa kilewo anamtukana sana mbowe.au ametumwa na kilewo mwenyewe
 
gaidi kilewo amekimbia jimbo la maghembe baada ya kuchemsha naona sasa anatapatapa tu.alifikiri atapewa kick kwa kumtukana zitto.huyu kilewo amechanganyikiwa.mke wake anamtukana mbowe lakn yuko kimya tu.huyu anakisaliti chama

Kama ndivyo mnavyodanganyana kuwa kamanda Kilewo amemkimbia huyo profesa waziri mzigo basi mmepotea sana. Kilewo anajiandaa kuapishwa kuwa mbunge wa Mwanga mwaka 2015 na waziri mzigo Maghembe analitambua hilo.
 
- Kama kawaida na washauri wenu wabovu, leo Ukonga nzima kuna msiba mkubwa sana wa msichana aliyefariki huko USA nimetoka huko sasa hivi wanamzika leo sasa hivi, wewe unaenda kuweka mkutano hapo hapo na hawa Viongozi wenu wa Taifa wanaopokea rushwa toka kwa viongozi mafisadi wa CCM, kweli akili ni nywele!!

Le Mutuz
Tatizo lako wewe ni la mtindio wa ubongo,unapenda umaarufu njaa.Wao wana mkutano na wengine wapo msibani sasa ulitaka wote washiriki msiba uso wahusu? Wewe ni kj tu huna lolote unataka tujue ulikuwa kwenye msiba wa msichana aliyefariki Marekani.Mbona misiba mingine ya wanaofariki hapahapa bongo huwa huongei ma.shu.zi haya.
 
Back
Top Bottom