Halima Mdee hana jipya

Halima Mdee hana jipya

Tumuulize rafiki wake Esther Bulaya kama kweli hana jipya.
 
Nini sababu ya mbunge kutoka Kawe ''HALIMA MDEE'' Kuwa kimya kiasi hicho, maana yake ni kwamba hana jipya? au yeye hafanyi kazi na media ila anafanya kimya kimya?

Binafsi natilia shaka uwezo wa Halima Mdee kama anaweza kushindana kwa hoja na Mbatia japokuwa alimbwaga kwenye uchaguzi mkuu uliyopita, BILA USHABIKI Mdee alishinda uchaguzi uliyopita sababu ya chama chake kuvuma sana si kweli kwamba alikuwa ana hoja nzito kushinda Mbatia..........

Halima Mdee atarudi kweli bungeni mwaka 2015?
NAWASILISHA.
Yes atarudi bungeni 2015.
 
HUWA HAMFATILII NDIO MAANA KWENYE OPD DADA ANAPGA KAZI KAMA HUJUI MULIZE MSINGWA.
¤¤halima upo juu CHAPA KAZI TUPO PAMOJA LUMUMBA WASIKUKATISHE TAMAA¤¤

Ehee anapiga kazi na mchungaji. Josephina anapiga kazi na Padri sasa wana Junior
 
Nini sababu ya mbunge kutoka Kawe ''HALIMA MDEE'' Kuwa kimya kiasi hicho, maana yake ni kwamba hana jipya? au yeye hafanyi kazi na media ila anafanya kimya kimya?

Binafsi natilia shaka uwezo wa Halima Mdee kama anaweza kushindana kwa hoja na Mbatia japokuwa alimbwaga kwenye uchaguzi mkuu uliyopita, BILA USHABIKI Mdee alishinda uchaguzi uliyopita sababu ya chama chake kuvuma sana si kweli kwamba alikuwa ana hoja nzito kushinda Mbatia..........

Halima Mdee atarudi kweli bungeni mwaka 2015?
NAWASILISHA.

amekata tamaa coz CDM mnataka kumfanyia mizengwe ili jimbo lake agombee MAMA JUNIOR ifikapo 2015
 
taja jipya ulilo nalo wewe unamajungu sana. hiyo kazi niyawanawake wewe umepotea njia
 
Acheni matusi na hoja za kijinga hapa! Hata wewe mama yako ASINGE TIWA /MIMBA usinge log in hapa na kuleta pumba zako hapa. Kama katiwa mimba HUYO ndo mwanamke wa ukweli. Au mlitaka wawatie nyie? Kwani mwanamke asipotiwa tungepatikana hapa! Kama hauna la kuchangia acha mada ipite! Au yeye kupata huo ubunge na jinsi yake imebadilika?
Punguza hasira au hujapata lunch bado? huyo jamaa alimwambia kwa kumficha mimi ndio nimeanua kinu juani sasa mbona unatokwa na mapovu,hakuna sehemu niliyosema kwamba anayetakiwa kutiwa mimba ni David Cameron,nikiwa na maana ya kwamba hilo nalifahamu fika,kwamba anayetakiwa kutiwa mimba ni mwanamke wa KIKE.
Nalog off
 
Kwisha habari yake hata afanye nini bidhaa isiyo na soko imeisha muda wa matumizi.

Mkuu kuna wabunge wengi hawatarudi bungeni 2015 hata hapa kijijinikwetu Cyril Chami hatuezi kumpa kura hakuna alichokifanya, mwingine ni Ole Sendeka huyu jamaa hata kuhakikisha wanapata hospitali ya wilaya huko kwake ameshindwa pamoja na kuwa mbunge kwa muda wote huo.
 
HUWA HAMFATILII NDIO MAANA KWENYE OPD DADA ANAPGA KAZI KAMA HUJUI MULIZE MSINGWA.
¤¤halima upo juu CHAPA KAZI TUPO PAMOJA LUMUMBA WASIKUKATISHE TAMAA¤¤

Nilitaka niwakumbushe hii kitu, walidahani halima atakuwa upande wao kama walivyo wao, kwa taarifa yenu mdee yupo upande wa chedema, jana alikuwa iringa anapiga kazi kwenye M4C OPD
 
Nini sababu ya mbunge kutoka Kawe ''HALIMA MDEE'' Kuwa kimya kiasi hicho, maana yake ni kwamba hana jipya? au yeye hafanyi kazi na media ila anafanya kimya kimya?

Binafsi natilia shaka uwezo wa Halima Mdee kama anaweza kushindana kwa hoja na Mbatia japokuwa alimbwaga kwenye uchaguzi mkuu uliyopita, BILA USHABIKI Mdee alishinda uchaguzi uliyopita sababu ya chama chake kuvuma sana si kweli kwamba alikuwa ana hoja nzito kushinda Mbatia..........

Halima Mdee atarudi kweli bungeni mwaka 2015?
NAWASILISHA.

Jimbo lile atagombea hawara ya SLAA , JOSEPHINE , Halima bora ahamie NCCR au CHAUMA
 
Jimbo lile atagombea hawara ya SLAA , JOSEPHINE , Halima bora ahamie NCCR au CHAUMA

halima komaa na hao wahafidhina wanaotaka kukupora jimbo lako wampe mama juniour
 
Back
Top Bottom