Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,337
- 105,171
Hata sijakutukana.Hata ukinitukana haibadilisi ushindi. Yaani mtu ashindwe kwa zaidi ya kura laki na nusu halafu ulete uwongo hapa wa watu kuletwa kutoka wiliya nyingine, yaani walikuwa kwenye dafatari gani. Kila mpiga kura namba yake inaandikwa kwenye ballot paper, kwa hiyo kama Mdee analalamika basi aombe recount kuhakiki namba za kwenye ballot paper na za kwenye daftari
Ila binafsi nakuona kama ni mtu ambaye unapendezwa sana na matusi, ungekua unachukizwa nayo basi leo hii usingekua unampa kongole gwajima ambaye sio tu kwamba katoa lugha ya matusi kwa pengo bali alifanya matusi na ushahidi wa video upo.
Kila mpiga kura namba yake inaandikwa kwenye kitabu pamoja na picha yake, ila mkaguzi wa kuhakikisha kua yule mtu aliyekuja kupiga kura sura yake inafanana na huyu ambaye yupo kwenye hii log book jukumu hilo kapewa msimamizi wa uchaguzi wa nec. Mawakala wa vyama hawaruhusiwi kwenda kuhakikisha kama huyo mtu ni sahihi kwasababu jana yake hao wasimamazi walipewa maelekezo ofisi za kata kua mtu akija na kitambulisho ambacho jina lake halipo we mruhusu tu na wao walipewa mtonyo wao.
Pili zile mashine za kutengenezea vitambulisho vya kura ziliachwa ofisi za kata kwa kazi maalumu ya jana zilitumika kutengenezea vitambulisho vingine ambavyo watu hao walipiga kura zaidi ya vituo kumi.