Thubutu unawajua unawasikiaHaya sasa wale nyumbu wake waliokuwa wanasema hilo siyo tusi waje tena kutokwa mapovu!
Kwa hiyo chadema hamna utaratibu wa kuomba radhi!?Hiki ulichokisema kingeambatana na audio au video clip yake ingependeza mno Mkuu ila kwa hivi hivi ni ngumu kuaminika.
Kwani mbunge anahusikaje na maendeleo ya madale?. Ni vema ukasoma au kuuliza majukumu ya wabunge ndio utoe hoja yako. Nilitegemea great thinkers wana uelewa wa mambo haya na pia kama hawaelewi basi wanakuwa wepesi kuuliza.Ubunge wako umeishia hapo, vipindi viwili madale hujafanya lolote, kura yangu bye bye.
Mbunge Halima Mdee kaomba radhi kwa kauli aliyomtolea Spika Ndugai bungeni kwenye uchaguzi wa EALA.
Huo ni mtego mkubwa sana kwa Ndugai kwani kama tabia alizoonyesha kwenye uchaguzi hataziacha matusi yale atatukanwa tena na wabunge wengine. Ni wakati sasa naye kujiangalia jee anatenda haki au anafanya mambo yanayo stahili kuitwa tena "fala'?
Spika na naibu wake hata na wenyeviti wa Bunge wanapaswa kutenda kwa kufuata kanuni na kuondoa upendeleo ili kujiepusha na lugha za kuwadhalilisha.
Binadamu ni wa ajabu kweli, alipo rudi toka India alikuja na maneno ya kutia moyo sana kuwa amebadili tabia. Kumbe pale alikuwa bado anakumbukumbu ya hospitali,sasa kasahau na kiburi juu. Mdee alistahili kumwita vileNdugai, kilichomuua Kambale kilitoka kwenye kinywa na matendo yake! Nawe Ndugai acha kuongoza Bunge kwa mapenzi ya UCCM! Be fair, . Kwa tunaokumbuka na kuweka record vizuri, ulitaka kumuua mtu kwa kutafuta ubunge. Una umimi sana mpaka kutaka kuua! Rekebisha tabia hiyo! Acha upendeleo kwa CCM, na Mungu atakubariki
Yes anakeraBinadamu ni wa ajabu kweli, alipo rudi toka India alikuja na maneno ya kutia moyo sana kuwa amebadili tabia. Kumbe pale alikuwa bado anakumbukumbu ya hospitali,sasa kasahau na kiburi juu. Mdee alistahili kumwita vile