Halima mdee anaongea kama Nani nahana Chama

Halima mdee anaongea kama Nani nahana Chama

Halima kajaribu kuongea vizur sana, Spika anatoa taarifa yeye, muongozo yeye, hoja yeye, mradi Halima haongei...

Alidhani mumewe alipewa u DG wa EWURA bure? time to pay.

Ila kwa Tanzania yetu, tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri
 
Halima akili kubwa

Spika amejikuta anafanya kazi ya Jensiter Muhagama na Majaliwa kutetea Mkataba badala ya kusimamia Mjadala

kumbe TPA wanaachiwa kazi ya kusimamia boti za Bakhresa tu na Wavuvi wa uduvi kule vijibweni

nimemsikiliza Halima Hames Mdee japo kazuiwa kuendelea kuzungunza nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Mkataba wa Berlin wa 1884 umehuishwa Dubai mwaka huu.


yaani Refa wa Fainali anakuwa kocha wa timu mojawapo inayocheza

hii style ya kuomba muongozo ili kumtoa kwny reli Mzungumzaji huwa inanikera sana sana Wallah
Wame muinterap makusudi ashindwe kutoa hoja zake
 
Kwa mujibu wa mdee Kumbe mkataba unachukua bandari zote za bahari hadi ziwa victoria na kule kigoma za ziwa tanganyika
 
Huyu sio mbunge mimi simsikilizi, mnajifanya kumpa nafasi kupumbaza demokrasia na kupoza makali

Mahuligani nyie
Halima ndio hana chama hilo linajulikana lakini katika mchango wake yeye anafungua haki za bunge kuhoji badala ya bunge kugeuka kuwa ndiyo serikali yenyewe.
Anaongelea uwezekano wa ikiwa mkataba huu utaridhiwa na bunge kuna uwezekano wa hawa waarabu kupanua wigo kwa bandari zote za tanganyika.
Hilo ni jambo ambalo lipo katika makubaliano ya hii MOU.
Sasa kuna kilaza mama huko bungeni anapinga.
Je mkataba hauzungumzii bandari zingine?
Hilo ndilo jambo la ufahamu!!
Au serikali alishakubaliana nae kuwa hatapewa bandari nyingine yeyote nje ya Dar na kama italazimu apewe kutaletwa tena MOU nyungine bungeni?
Myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!
 
akili kubwa kwa kuongea kwa sauti au? maana anaulizwa anachokisema kumeandikwa wapi kwenye huo mkataba anabaki kujingatangata
Anaongea Kwa hisia badala atumie content za kwenye kitabu, atumie ACT na Cases za kimataifa sio kutaka huruma ya vigeregere Kwa wananchi
 
Back
Top Bottom