Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Hili tukio sasa linalipa. CCM wangejua kuwa udhalimu wanaofanya wakati mwingine unawasaidia watu wafahamike zaidi kuwa ni watetezi wao.
Niwashauri tuu wapambanaji kuwa wakiona Polisi wanawaonea wasife moyo kwani kwa kufanyiwa hayo mioyo ya Watanzania ndio inazidi kuwa na imani nao kwani hata wenyewe huko mitaani kila siku wanabambikwa kesi na kuonewa kila kukicha.
Niwashauri tuu wapambanaji kuwa wakiona Polisi wanawaonea wasife moyo kwani kwa kufanyiwa hayo mioyo ya Watanzania ndio inazidi kuwa na imani nao kwani hata wenyewe huko mitaani kila siku wanabambikwa kesi na kuonewa kila kukicha.