Halima Mdee amsambaratisha Magufuli

Nimewahi kuishi Chato kwa muda miaka kadhaa, mwez uliopita tu ndipo nlipoondoka Chato, japo huu mkutano wa Halima Mdee hapa Chato nilikuwepo!! Iko hivi ktk jimbo hili la Chato kumng'oa Magufuli 2015 bado sijaona. Sio kwamba haiwezekani, inawezekana, lakini inatakiwa itumike nguvu na akili kubwa sana, Magufuli kafanya mambo makubwa sana sana Chato. Chato wanampenda kwa maendeleo aliyoyaleta kama vile barabara nzuri, umeme japo sio wa uhakika, huduma za afya na elimu amejitahidi, ujenzi wa ofis nzuri za halmashauri kwakeli Chato kaitoa mbali sana, huwez amin kwasasa barabara za lami zinajengwa mpaka vichochoroni kitu ambachohakifanyiki Kawe _DSM, ukiuliza hii barabara inaenda wapi utasikia "inaenda mwaroni/gatini, jineri n.k). Maghufuli ana vitu viwili vinavyoweza kumtoa madarakani ambavyo wananchi wamekua wakilalamika 1:Maghufuli anadharau wananchi masikin kwa kuwatolea lugha chafu, lugha chafu amekua akiitoa kwenye mikutano ya hadhara na wananchi. 2:Maghuli anakashfa ya kuwa chanzo kuua kiwanda cha PAMBA.
Ndugu yangu mimi nipo hapa bukoba na nina miaka zaidi ya kumi na tatu,wahaya wanachukizwa sana na dharau kwao wawe ni masikini au tajiri ukiwa na madharau hauna future ktk uongozi.Mfano ni aliyekuwa mbunge wa Nkenge Kamara alikosea kuwajibu ktk kero ya ngedere na nyani kuharibu mazao ya wananchi akawajibu hivi----KAMA MNAONA HAO WANYAMA WANAWASUMBUA BASI MUWAFANYE KITOWEO----Wahaya walikasilika vibaya na wakampiga chini.
 
Ndugu yangu mimi nipo hapa bukoba na nina miaka zaidi ya kumi na tatu,wahaya wanachukizwa sana na dharau kwao wawe ni masikini au tajiri ukiwa na madharau hauna future ktk uongozi.Mfano ni aliyekuwa mbunge wa Nkenge Kamara alikosea kuwajibu ktk kero ya ngedere na nyani kuharibu mazao ya wananchi akawajibu hivi----KAMA MNAONA HAO WANYAMA WANAWASUMBUA BASI MUWAFANYE KITOWEO----Wahaya walikasilika vibaya na wakampiga chini.

Wahaya wenywe wanaongoza kwa dharau aliwajibu vzuri
 
We Wa wapi. Kadi zinaoneka zipo nyingi harafu unasema moja. Acha ushabiki Wa kunguru kufatilia mizoga
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee jana alitikisa Jimboni Chato kwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara kuwahi kuhutubiwa jimboni hapo miaka ya karibuni.
Awali Mdee alilakiwa na umati mkubwa wa watu wakiwa na msururu mrefu wa magari,pikipiki,baiskeli huku akina mama wakiwa kandokando ya barabara wakipunga matawi ya miti.

Ujumbe mkubwa wa Halima Mdee kwa wanaChato ni kuikataa Katiba Haramu ya CCM na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.

Halima Mdee maarufu kama Tanzanian Iron Lady alipokea kadi 200 za watu walioamua kujitoa CCM na kujiunga Chadema.Huku mamia ya wananchi wengine ambao hawakuwa na chama wakijiunga pia Chadema.

Ikumbukwe jimbo la Chato linaongozwa na mbunge wa CCM John Pombe Magufuli ambaye ni waziri wa Ujenzi.

Ni simulizi hapa Chato kuanzia jana mpaka asubuhi hii kumzungumzia Halima Mdee na Chadema!

1658198_658862364212406_849854  0439566593170_o.jpg

10612779_658862337545742_52834  1973315421299_n.jpg

10407380_658862304212412_68238  44216364614988_n.jpg

10669105_658862190879090_14746  81969313438198_o.jpg

Magamba siyapendi ila kwa Magufuli hapana tusimuonee hata Mbowe aliwahi kunena hivi:

[video=youtube_share;j0xaIuEaX18]http://youtu.be/j0xaIuEaX18[/video]​
 
chato na bukoba ni wilaya mbili tofauti na zipo mikoa tofauti na chato wenyeji sio wahaya

Ndugu yangu mimi nipo hapa
bukoba na nina miaka zaidi ya kumi na tatu,wahaya wanachukizwa sana na
dharau kwao wawe ni masikini au tajiri ukiwa na madharau hauna future
ktk uongozi.Mfano ni aliyekuwa mbunge wa Nkenge Kamara alikosea kuwajibu
ktk kero ya ngedere na nyani kuharibu mazao ya wananchi akawajibu
hivi----KAMA MNAONA HAO WANYAMA WANAWASUMBUA BASI MUWAFANYE
KITOWEO----Wahaya walikasilika vibaya na wakampiga chini.
 
Inuka, chukua godoro lako uondoke usukuleni. Ulikaririshwa kwamba huna uwezo wa kufikiri na kwamba kichwa chako kazi yake ni kubeba mdomo na pua ili ule na upumue na ushangilie ccm, nawe ukakubali. Sasa amka. CCm imekufa haipo tena. Tambua ukweli kwamba unakichwa kilichobeba uwezo wa kufikiri. Unaweza kukitumia katika kufikiri na kuamua vizuri kinyume na urithi wako kwa marehemu ccm.



Kuamini kumtoa Magufuli Chato ni uendawazimu!
 


Magamba siyapendi ila kwa Magufuli hapana tusimuonee hata Mbowe aliwahi kunena hivi:
Mbowe Clip - YouTube

Magufuli ndiye aliyeuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa/jioni. Huyu bwana ameitia hasara kubwa sana nchi yetu kutokana na uamuzi wake wa kufisadi.

Mbowe amepotoka kwa kutowaambia wananchi ukweli kuhusu ufisadi wa Magufuli.

Atakapokuja Raisi mpya, Magufuli awe mtu wa kwanza kuburuzwa mahakamani kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
 
Magufuli ndiye aliyeuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa/jioni. Huyu bwana ameitia hasara kubwa sana nchi yetu kutokana na uamuzi wake wa kufisadi.

Mbowe amepotoka kwa kutowaambia wananchi ukweli kuhusu ufisadi wa Magufuli.

Atakapokuja Raisi mpya, Magufuli awe mtu wa kwanza kuburuzwa mahakamani kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.

Mkuu unakumbuka hata JK alipoingia alikuja kihivyo mwisho wa siku ni Baraza la Mawaziri ndilo lilipitisha azimio la kuuza nyumba yeye akiwa mwenye dhamana na Wizara tu. Hii kitu imerudiwa mara nyingi sidhani kama hapa ni mahala pake - tafakari na uchukue hatua!
 
Mkuu unakumbuka hata JK alipoingia alikuja kihivyo mwisho wa siku ni Baraza la Mawaziri ndilo lilipitisha azimio la kuuza nyumba yeye akiwa mwenye dhamana na Wizara tu. Hii kitu imerudiwa mara nyingi sidhani kama hapa ni mahala pake - tafakari na uchukue hatua!
Maamuzi ya baraza la mawaziri hayawezi kuhojiwa?
 
Mbona watu mnabaka mada nyie..yy kaenda kuhamasisha watu wasiipigie kura rasimu ya ccm ya katiba ...hajaenda kufanya kampen za kumng'oa magufuli...mbona mna wasiwasj kama mliiba kra nyie..tumieni akili basi..!!
 
Mkuu unakumbuka hata JK alipoingia alikuja kihivyo mwisho wa siku ni Baraza la Mawaziri ndilo lilipitisha azimio la kuuza nyumba yeye akiwa mwenye dhamana na Wizara tu. Hii kitu imerudiwa mara nyingi sidhani kama hapa ni mahala pake - tafakari na uchukue hatua!

Baraza la mawaziri huchukua uamuzi baada ya waziri mhusika kutoa hoja na kuitetea.

Kama Magufuli alikuwa hakubaliani na uamuzi huo alipaswa kujiuzulu.

badala yake Magufuli alikwenda bungeni akasema uongo. Zaidi, akagawa/akauza nyumba za serikali hata kwa wasiouhusika, mfano ndugu na marafiki zake.

Hivi majuzi katibu mkuu wa ccm ndugu Kinana alikutana na kero ya ufisadi wa Magufuli. Kinana alitembelea hospitali ya serikali akakuta nyumba ya daktari iliyoko ktk eneo la hospitali imeuzwa kutokana na uamuzi wa Dr.Magufuli.

Nb:
Kikwete ni miongoni mwa waliouziwa nyumba za serikali kwa bei poa. Mimi nilijua tangu awali kwamba hawezi kutengua uamuzi ule.
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa Halima Mdee jana alitikisa Jimboni Chato kwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara kuwahi kuhutubiwa jimboni hapo miaka ya karibuni.

Awali Mdee alilakiwa na umati mkubwa wa watu wakiwa na msururu mrefu wa magari,pikipiki,baiskeli huku akina mama wakiwa kandokando ya barabara wakipunga matawi ya miti.

Ujumbe mkubwa wa Halima Mdee kwa wanaChato ni kuikataa Katiba Haramu ya CCM na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.

Halima Mdee maarufu kama Tanzanian Iron Lady alipokea kadi 200 za watu walioamua kujitoa CCM na kujiunga Chadema.Huku mamia ya wananchi wengine ambao hawakuwa na chama wakijiunga pia Chadema.

Ikumbukwe jimbo la Chato linaongozwa na mbunge wa CCM John Pombe Magufuli ambaye ni waziri wa Ujenzi.

Ni simulizi hapa Chato kuanzia jana mpaka asubuhi hii kumzungumzia Halima Mdee na Chadema!

1658198_658862364212406_849854  0439566593170_o.jpg

10612779_658862337545742_52834  1973315421299_n.jpg

10407380_658862304212412_68238  44216364614988_n.jpg

10669105_658862190879090_14746  81969313438198_o.jpg

[video=youtube_share;wphpWrHF0To]http://youtu.be/wphpWrHF0To[/video]
 
Back
Top Bottom