Halima Mdee amsambaratisha Magufuli

Kati ya hao walioshiriki mkutano ni wangapi wapo tayari kupiga kura? Bado na sisitiza kinachowafanya watu wajae kwenye mikutano hii ni ukosefu wa ajira. Watu wangekuwa na kazi usingewaona wakijaa kwenye viwanja hivi kusikiliza watu waliopo kwenye kazi zao.

Wasio na kazi ndio watakaoleta ukombozi kwani hawaoni tofauti ya ccm na wakoloni.wamepewa elimu mbovu tena kwa matabaka,hawana fursa za kujiajiri wala kuajiriwa,wana machungu ya kufa kwa viwanda vyao vilivyojengwa na nyerere kwa gharama kubwa then vikauawa na haya mafisadi ili waendelee kuwatumia kisiasa kutokana na umaskini wao mkubwa.UKOMBOZI UTALETWA NA HAO WALIOKATA TAMAA,HAO WALIOKOSA ELIMU BORA,WASIO NA AJIRA RASMI AU ZISIZO RASMI NA SI NYIE MABUKU 7 MLIORIDHIKA NA HAYO MAKOMBO YA WEZI,WAUZA UNGA NA MAJANGILI.
 
Kuamini kumtoa Magufuli Chato ni uendawazimu!
Yaelekea huna habarei sahii za siasa za Chato,fuatilia mchakato wa ubunge uchaguzi uliopita utagundua kuwa Magufuli alipata ubunge kwa bahati sana na wakatihuo hapakuwa na harakati kama hizi lakini upinzani dhid yake ulikuwa mkali sana,unajua nabiii hakubaliki nyumbani kwao,vivyo hivyo kwa Magufuli,ni popular zaidi maeneo mengine lakini jimboni kwake hawamkubali kihivyo.
 
Mkinidizi ktk uchaguzi basi NITASHINDA KWA MBINU 2 ZILIZOBAKI.
1)kuiba kura kwani Tume ya Uchaguzi ni ya ccm
2)Jeshi la polisi.
 
Magufuli ni nembo ya taifa, mtu makini na wenye kujiamini.

Chato hatuwezi kumuacha magufuli huyo ndugu yenu wa mzumbe atafukuza achoke! Tangu amepata Udkt na akawa mzumbe hajawahi kuja na mkakati wa kuinua elimu wilayani chato. Magufuli kafanya mambo mengi yanayompa ushindi hata kabla ya uchaguzi kufika
 
Cha msingi waliojitokeza wamepata elimu tosha juu ya katiba mbovu ya CCM ya bwana Sita. Wameelewa kuwa kuiondoa CCM ni lazima kujiandikisha na kupiga kura.
 
Kati ya hao walioshiriki mkutano ni wangapi wapo tayari kupiga kura? Bado na sisitiza kinachowafanya watu wajae kwenye mikutano hii ni ukosefu wa ajira. Watu wangekuwa na kazi usingewaona wakijaa kwenye viwanja hivi kusikiliza watu waliopo kwenye kazi zao.

Hivi ni NANI aliyewafanya umati wa watu hao wote wasiwe na ajira?
 
Binafsi nilikuwepo na nipo Chato muda huu. Watu kutoka Bwina, Nyabilezi, Rubambangwe, Itale, Kasagara, Ginnery na maeneo mengi walifika kwenye mkutano huo. Watu walirudisha kadi za CCM hadharani. Kiukweli mvuto wa Magufuli na CCM hapa Chato ni mdogo sana kiasi kwamba ukiitishwa uchaguzi mnaweza msiamini kuwa Magufuli anaweza kupata 30% ukilinganisha na Dr. Lukanima (63%). Sisi ndio wazawa wa Chato na huo ndio ukweli.
 
Kwani yy nani magufuli hadi ajihakikishie jimbo au kwa vile ndiye alitangaza kuwa ccm kutoka madarakani haiwezekani hadi wakurugenzinwasiwe wasimamizi wa uchaguzi?
 
Inaonekana hawa watu huwa wanakosa ajira inapokuja mikutano ya CDM tu !. Ikija ya CCM inaelekea ajira zao zinarudi kwani CCM huwa wanalazimika kusomba watu na malori kutoka sehemu nyingine !

Kati ya hao walioshiriki mkutano ni wangapi wapo tayari kupiga kura? Bado na sisitiza kinachowafanya watu wajae kwenye mikutano hii ni ukosefu wa ajira. Watu wangekuwa na kazi usingewaona wakijaa kwenye viwanja hivi kusikiliza watu waliopo kwenye kazi zao.
 
Ni kweli kabisa kwamba zile zama za kuishi kwa siasa za uongo umekwisha, wenzetu wa Lumumba bado hawalijui hili.
 
Back
Top Bottom