Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
|
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"]
|
hivi Mbatia alijua lini hizi tuhuma za kashfa zimemwathiri katika uchaguzi? alipaswa kupeleka malalamiko yake kwa nec kabla ya uchaguzi na wala siyo baada ya kushindwa.......................................halafu katika kampeni hizo ni tuhuma.................hata kama kweli zilisemwa........................zilimwathiri vipi asichaguliwe.....................kwa nini hakuzijibu?
[/FONT said:
Mbatia anadai kuwa katika mikutano ya kampeni, Mdee alimwita yeye kuwa ni fataki anayefanya mapenzi na watoto wa shule, kibaraka wa CCM na kila wiki analipwa sh milioni 80 na chama hicho, hivyo kuwataka wapiga kura wa Jimbo la Kawe wasimchague Mbatia.
[/FONT said:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
kwani kupanda nao gari sio kutembea nao??? i would vote for kutembea as kutembea na sio kufanya mapenzi.... na milioni themanini ndio issue
Are you suggesting or refering? Which one among the above highlighted statements is in the case file?
Kwani wagombea walikuwa wa CHADEMA na MBATIA?CCM,CUF hawakuwa na wagombea?je alitajwa kwa jina?kwanini alikaa kimya mpaka aliposhindwa?
Kuna hatari Halima Mdee, mbunge wa jimbo langu kupoteza kiti chake..
Naona siku hizi kaamua kuwa mwanamitindo
si waliwahi kusema mbatia ni shoga
au anatembea na wanafunzi wa kiume