BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Naunga mkono Halima kutokwenda.Unafiki wa StarTV upo kikomoni.Leo kulikua na interview startv asubuhi
waalikwa
jafo ccm
mgombea act kawe
kingwendu
halima mdee.
hadi kipindi kinaanza 7:30 halima mdee haonekani
Tazama startv hivi sasa
Nitashangaa sana kama mwana UkAwa ataenda Star Tv kwa lolote lile.
Matangazo ya uchochezi kutumia picha za lowasa bila ridhaa haikubali