Halima Mdee akimbia mahojiano Star TV

Halima Mdee akimbia mahojiano Star TV

StarTV ni CCM,
Jafo ni CCM,
Huyo Kingwendu wenu katika kampeni zake anasema "kura zitakazobaki baada ya kumpigia Jafo basi nipeni na mimi... ndo ujue naye ni nani... oviously ni CCM.

Sasa Halima Mdee unadhani akaongee nini hapo na hao watu... posts zingine kama hizi huwa zinatupotezea muda sana kusoma.. kama ningekuwa mod ningepiga chini zote za aina hii ahhh!

Leo kulikuwa na interview startv asubuhi.
Waalikwa ni...
Jafo CCM
Mgombea ACT-Wazalendo Kawe
Kingwendu
Halima Mdee.

Hadi kipindi kinaanza 7:30 Halima Mdee haonekani

Tazama startv hivi sasa.
 
Kwa mara ya kwanza ktk siasa za vyamavingi duniani, tunashuhudia wapinzani wanakimbia midahalo...
I love my country, do u love yours?
 
Hichi kituo kikifika mwakani september mungu anajua.kimeelemewa madeni wafanyakazi wanakimbia kimejitosa kwenye siasa chafu.shame on you star tv
 
Sawa jifariji, si ndio kawaida yenu kubisha hata vinavyoonekana ila tukutane hapa hapa baada ya oct 25.
Watu hawana tena imani na viongozi wao, maana wanawadanganya sana watu na kuwafanya kama chapati kuwageuza geuza
 
  • Thanks
Reactions: Hel
Na ndiyo maana wanasema, ukiwa mzungumzaji sana, ukumbuke na maneno yako, sasa mwisho wa ubaya ni aibu
 
Watu hawana tena imani na viongozi wao, maana wanawadanganya sana watu na kuwafanya kama chapati kuwageuza geuza
Ni kweli, chama si cha mtu mmoja unapofanya maamuzi peke yako eti kisa ni kiongozi, unaweza kuharibu muelekeo hata wa watu kama akina Mdee
 
Unamtangazia nani we mbwiga?kila mtu ana ratiba zake siyo hao machumia tumbo,mdee ni mwana mageuzi hawezi kwenda kwenye starccm

Acha kuwaza pafupi interview mpaka inatangazwa ujue tayari makubaliano baina ya interviewee na interviewer wamekubaliana sasa wewe naona unaropoka tu kwa kutokujua halima mdee alikubali na ndio maana mwandishi anasema alikimbia kwasababu hakufika
 
Unajua mnatuchefua sisi wengine ambao siyo makada, kwa nini msihoji kwenye mchakato wa mgombea wa uraisi ccm

kwa nini makamu wa Raisi na Waziri mkuu hawakuingia Tano Bora? ni kweli siyo waadilifu,?
 
Unamtangazia nani we mbwiga?kila mtu ana ratiba zake siyo hao machumia tumbo,mdee ni mwana mageuzi hawezi kwenda kwenye starccm

wahudhurieidahalo ya vyombo vya habari vinavyojitambua siyo ya wachumua tumbo kama star ccm hawana jipya wanaipigania ccm viva mdee kwa kutohudhuria maana hawana jipya
 
Kinjgwendu - Wema Sepetu
Halima mdee- Magufuli or Samia Suluhu ingawa sio kihivyo

viva Halima
Halima si miongoni mwa waliotuaminisha kuwa EL ni fisadi, sasa leo hii nimuone wa maana, naanzia wapi, na ndio maana sishangai yeye kukimbia mahojiano
 
Leo kulikuwa na interview startv asubuhi.
Waalikwa ni...
Jafo CCM
Mgombea ACT-Wazalendo Kawe
Kingwendu
Halima Mdee.

Hadi kipindi kinaanza 7:30 Halima Mdee haonekani

Tazama startv hivi sasa.

MDEE CYO MJINGA KAMA ULIVYOFIKIRI!! KILA MTU ANA KIPAUMBELE CHAKE, HIKI NI KIPINDI CHA KAMPENI KILA MTU ANA RATIBA ZAKE!! PIA STAR TV CYO TV CREDIBLE KWA UPINZANI!! kwan ni lazma kila unapoalikwa uende! ni sheria kwmba ilikua lazma mdee atokee!! na ni nn maana ya mtu kukimbia!! tutafute hoja za maana za kuandika znazoweza kusaidia!! unaweza kufikir hatua tatu lkn ktk jamb hilohilo mwngine akafikir hatua sita zaidi!!
 
Back
Top Bottom