Acha siasa!
Halima amepata msiba mkubwa.
RIP Mtoi 🙏🏽
Leo kulikua na interview startv asubuhi
waalikwa
jafo ccm
mgombea act kawe
kingwendu
halima mdee.
hadi kipindi kinaanza 7:30 halima mdee haonekani
Tazama startv hivi sasa
R.I.P Mtoi.. kila nafsi itaonja umauti.. tumeumizwa sana na kifo chako.Halima mdee nikelele uongo mpaka sauti imepinda kwa kuongeya sasa kwa mahojiyano yenye ushahidi hawaze chochote ,ni vya uongo na kashifa za uongo na kuwadanganya mama nitiliye na boda
Rudi darasani kajifunze kusoma na kuandika na baadaye uje urudie kupost tena.
Kwani lazima? Star tv hawafanyi interview, wanafanyia CCM campaign, nashauri wangeendelea kumhoji Dr.Slaa.
Mwaka huu pia halima anawakati mgumu sana jimboni kwake anatetemeka kama Lowasa.
Leo kulikua na interview startv asubuhi
waalikwa
jafo ccm
mgombea act kawe
kingwendu
halima mdee.
hadi kipindi kinaanza 7:30 halima mdee haonekani
Tazama startv hivi sasa
Msiba mzito muwe na ubinadamu
Kituo cha tv Star Tv kinafahamika
RT
Hapo hakuna hoja ya maana labda Jafo kidogo
L
@Hakuna haja ya midahalo maana kampeni zimeanza waende kwa wananchi mwenye hoja atoe huko