Star tv,ni wakweli sana kuliko ITV hao ndio wenyekupendeleya uso kwa macho hao ni chadema na wala siyo ukawa ni chadema
Mafisadi mwaka huu mnakazi kweli mtakimbia mahojiano mpaka basi maana hoja ya ufisadi na rushwa zimewakaba.Unamtangazia nani we mbwiga?kila mtu ana ratiba zake siyo hao machumia tumbo,mdee ni mwana mageuzi hawezi kwenda kwenye starccm
Leo kulikua na interview startv asubuhi
waalikwa
jafo ccm
mgombea act kawe
kingwendu
halima mdee.
hadi kipindi kinaanza 7:30 halima mdee haonekani
Tazama startv hivi sasa
Mwaka huu pia halima anawakati mgumu sana jimboni kwake anatetemeka kama Lowasa.
Mafisadi mwaka huu mnakazi kweli mtakimbia mahojiano mpaka basi maana hoja ya ufisadi na rushwa zimewakaba.
Mwaka huu pia halima anawakati mgumu sana jimboni kwake anatetemeka kama Lowasa.
halima hana tena hoja. sera ya kupinga ufisadi imeyeyuka cdm baada ya cdm kuuzwa kwa edo na mbowe. halima hawezi tena kushusha mistari ya 'fisadi' kazibwa mdomo kwa hela. kawe pigeni chini huyo hafai.Leo kulikua na interview startv asubuhi
waalikwa
jafo ccm
mgombea act kawe
kingwendu
halima mdee.
hadi kipindi kinaanza 7:30 halima mdee haonekani
Tazama startv hivi sasa