Halima Mdee aachiwa huru

Sikuzote chadema haina nguvu kwa upande wa wanawake sio kama Bavicha
 

Waziri mkuu wenu si kasema Wapigwe tu?
 
Wanawake wazee wakiwa kituo cha Polisi kutaka mwanamke mwenzao (Halima mdee) aachiwe

 
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Wameagizwa na wanaowalipa mshahara wafanye hivyo kuwaziba vinywa wanaharakati wanaopigania tz ya kesho . Na haya pia yatapitaa.
 
Kwa laani hizi ndio maana polisi mkitaafu mnakuwa majambazi, walinzi, na kusongwa na mawazo
 
You are absolutely right Princess.
 

Uvunjifu wa amani unatokana na kukosekana kwa haki.Ni lazima kutafuta chanzo cha tatizo
 
Me nashangaa sn hii nchi aisee,hata kama hawakutakiwa kutumia nguvu vile,tena WANAWAKE!!! ni ajabu sn.
Kinachoendelea Tanzania ni kitu HATARI sn.Kuna haja ya kuchukua kitu cha ziada.
 
wanawake au mashangingi mdee ni mke wa nani msagaji yule na mvuta bang

Usagaji ni maisha binafsi wala siyo ishu kwetu. Wewe una uhakika gani kama mama yako hajawahi kuuza uchi au kuliwa nyuma kabla ya kukuzaa wewe?
 
wanawake au mashangingi mdee ni mke wa nani msagaji yule na mvuta bang
Hiyo bangi huwa mnavuta mkiwa pamoja?

Wacha kukurupuka, tatizo lenu magamba mkishaona mmezidiwa hoja humu JF, huwa mnaanza kashfa na matusi!
 
Alitumwa na nani kuandaa maandamano haramu na apigwe tuu
 
Tanzania hatuna jeshi la polis, bali jeshi la ccm, kwao anayeenda kinyume na matakwa ya ccm lazima adhalilishwe ama kupigwa vibaya! Bila kufumua hili jeshi la polisccm amani itakuwa msamiati hapa nchini siku za usoni.
 
ccm sioni mwanamke yoyote anayeweza kufanya kama alichofanya halima leo, labda mumuandae shyrose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…