sasa ngoma mbona sio ugonjwa wa ajabu tena,kuan familia gani so far haijawahi kuguswa na ugonjwa huo?no it's like malaria and others,so mshkaji kuvunja ukimya na kutamka bila kuuma maneno inatia moyo kwamba sasa watu tumekubali hili tatizo ni sehemu ya maisha yetu
R.I.P. DA HALIMA.