Hali ya utaifa inatisha

Tofauti haziwezi kuepukika sisi kma taifa ila kwa sasa kilichotugawa hivi ni elements za "predatory state/government/political party" zinavoendelea kushamiri. Kwa sasa hapa Tanzania yetu tuna Predators na Prey. Anayepingana kimawazo, kisera, kimtazamo na wenye mamlaka(predators) anaonekana mhaini/muasi hata kama ni haki zake za kimsingi za kimawazo na kikatiba(prey).

Huu hasa ndo mwiba wa kwa nini leo baadhi ya waTZ wazawa wanafurahi tukio la kufedhehesha nchi likitokea kwa sababu ndo wanapopata mwanya wa kutolea hasira au shauku lao.

Kwa TZ ya sasa hakuna cha bunge, mahakama wala yotote wa kurudisha hali ya utaifa isipokuwa the President himself. Ila pia sidhani wala sioni JPM akikumbatia diversity ya kimawazo na kufanya hata wale minority watoe joto/povu lao.

Ni style yake ya leadership na kila kitu kina gharama zake. Tumuache atawale miaka yake mazuri atuachie, madhaifu tujifunze!
 
Hili suala la kulawiti watu sasa hivi linazungumzwa sana kuwa agents was serikali hiyo ni njia moja wapo ya utesaji, lakini bado ushahidi. Lakini wiki hii mhariri wa Watetezi TV alikamatwa kwa kuandika habari za Polisi huko Njombe kuwalazimisha watuhumiwa kulawitiana, jee hapo ndio tumefika kama nchi?
Jee wapenzi wa CCM wanaweza kweli kuitetea serikalu yao inayowalawiti watu? Jee ndugu zao wakiwa mikononi mwa Polisi watafurahi wakilawitiwa?
CCM imejaa laana!
Aisee shetani wa bahima empire ndio kaifikisha nchi hapa, Mungu amlaani afe mapema tena mdomo wazi.
 
Mapandikizi yametuonea wivu Amani umoja na Upendo wetu thus yanatuvuruga kwao Hakuna Amani,Upendo na umoja zaidi ya roho za chuki Na visasi.
 
Sijui wengine wanaona kile kile ninachokiona mimi. Kama ni hivyo basi inatisha kwa kuwa sijawahi kuona hali hii ikijiri katika nchi yetu pendwa tangu ninakuwa mtu mzima miaka ile ya 1960s'. Katika historia ya taifa letu siku zote watanzania tumekuwa tunaunganika katika masuala yenye maslahi ya taifa. Lakini katika miaka ya hivi karibuni tunaanza kuona baadhi ya watu wakifurahia pale nchi yetu inapokuwa imeshikwa pabaya. Kwa mfano hivi sasa kuna hili suala la ndege yetu kuzuiliwa huko Afrika Kusini. Kuna watu wanashangilia. Kuna watu walishangilia pale IMF ilipotoa takwimu zake kuhusu kukua kwa uchumi kwa kuonyesha ukuaji wa 5% tofauti na takwimu za serikali zilizoonyesha ukuaji wa 7.1%. Hata kwenye mashindano ya Afcon yaliyoisha hivi karibuni huo Cairo kuna watu walioshangilia pale tulivyofungwa na Kenya! Kwa ufupi chochote kile kinachoonyesha Tanzania inafanya vibaya kinafanya baadhi ya watu wafanye sherehe. Kwa hakika hali hii haipendezi. Nini kimetokea hadi tukafika mahali watu wanafurahi nchi yao ikishikwa pabaya? Tutafakari na tufanye kile Waingereza wanasema "soul searching". Haipendezi tukiendelea hivi kama taifa.
Ulishawahi ona serikali inamuwekea Mbunge aliyepigwa risasi akapona mawakili 16 wakiongozwa na mwanasheria mkuu ashindwe kesi ya kudai haki yake mahakamani, toka upate akili hapa Tanzania???? Idadi sawa na risasi zilizomwingia mwilini, Achilia mbali kumvua ubunge akiwa katika matibabu ng'ambo.
 
Ili kuitwa Taifa, ni lazima kuwepo na population inayoishi katika mipaka inayotambuliwa. Hivyo basi, alama kuu ya Taifa ni Raia wake. Pale inapotokea alama kuu ya utaifa inapuuzwa, haithaminiwi, usitegemee kuwepo na Utaifa. Kwa nguvu zile zile tunazotumia kuisifia serikali, ndizo pia zitumike kuishauri pale inapoenenda kinyume na maadili ya katiba ya nchi, kwani yote ni kwa ajili ya maisha bora ya wananchi. Na tukumbuke, duru kubwa ya Taifa, ni kuthamini watu wake. "The best heritage to leave to our children, is to make them, understand the value of their neighbors, fellow citizens".
 
Mtoa post wala usiumie sana. Hao unaowaona humu wakishangilia mabaya ya Tanzania ni wachache sana. Wengine sio Watanzania.
 
..kuna waTz wanajiita wazalendo wanafurahia na kusherehekea wakiona wenzao wakitekwa, wakiteswa, wakibambikiwa kesi za hovyo-hovyo, na hata wakipigwa risasi.
Inabidii tuambiwe maana mpya (Kama ipo) ya uzalendo ni ipi?
 
Sijui wengine wanaona kile kile ninachokiona mimi. Kama ni hivyo basi inatisha kwa kuwa sijawahi kuona hali hii ikijiri katika nchi yetu pendwa tangu ninakuwa mtu mzima miaka ile ya 1960s'.

Katika historia ya taifa letu siku zote watanzania tumekuwa tunaunganika katika masuala yenye maslahi ya taifa. Lakini katika miaka ya hivi karibuni tunaanza kuona baadhi ya watu wakifurahia pale nchi yetu inapokuwa imeshikwa pabaya.

Kwa mfano hivi sasa kuna hili suala la ndege yetu kuzuiliwa huko Afrika Kusini. Kuna watu wanashangilia. Kuna watu walishangilia pale IMF ilipotoa takwimu zake kuhusu kukua kwa uchumi kwa kuonyesha ukuaji wa 5% tofauti na takwimu za serikali zilizoonyesha ukuaji wa 7.1%.

Hata kwenye mashindano ya Afcon yaliyoisha hivi karibuni huo Cairo kuna watu walioshangilia pale tulivyofungwa na Kenya!

Kwa ufupi chochote kile kinachoonyesha Tanzania inafanya vibaya kinafanya baadhi ya watu wafanye sherehe. Kwa hakika hali hii haipendezi.

Nini kimetokea hadi tukafika mahali watu wanafurahi nchi yao ikishikwa pabaya? Tutafakari na tufanye kile Waingereza wanasema "soul searching". Haipendezi tukiendelea hivi kama taifa.

Waambie ccm hayo maneno. Hiyo ya AFCON mburula moja ilidai timu ni ya ccm kwani kila Mtanzania ni ccm? Sisi tunafurahia mabaya juu ya ccm.
 
Serekali inayotumia mabavu kutawala wananchi wake kihalisia haina uwalale wote kushughulikia matatizo yao hivyo basi wananchi wake si mbumbumbu wana haki ya kuikumbusha tu kuwa usitarajie ungaji mkono wao.
 
Sijui wengine wanaona kile kile ninachokiona mimi. Kama ni hivyo basi inatisha kwa kuwa sijawahi kuona hali hii ikijiri katika nchi yetu pendwa tangu ninakuwa mtu mzima miaka ile ya 1960s'.

Katika historia ya taifa letu siku zote watanzania tumekuwa tunaunganika katika masuala yenye maslahi ya taifa. Lakini katika miaka ya hivi karibuni tunaanza kuona baadhi ya watu wakifurahia pale nchi yetu inapokuwa imeshikwa pabaya.

Kwa mfano hivi sasa kuna hili suala la ndege yetu kuzuiliwa huko Afrika Kusini. Kuna watu wanashangilia. Kuna watu walishangilia pale IMF ilipotoa takwimu zake kuhusu kukua kwa uchumi kwa kuonyesha ukuaji wa 5% tofauti na takwimu za serikali zilizoonyesha ukuaji wa 7.1%.

Hata kwenye mashindano ya Afcon yaliyoisha hivi karibuni huo Cairo kuna watu walioshangilia pale tulivyofungwa na Kenya!

Kwa ufupi chochote kile kinachoonyesha Tanzania inafanya vibaya kinafanya baadhi ya watu wafanye sherehe. Kwa hakika hali hii haipendezi.

Nini kimetokea hadi tukafika mahali watu wanafurahi nchi yao ikishikwa pabaya? Tutafakari na tufanye kile Waingereza wanasema "soul searching". Haipendezi tukiendelea hivi kama taifa.
''Lost Generation'
 
Watu wakishiba uzalendo hawalazimishwi.Kusomesha watu no ni kuuwa uzalendo.
 
Sijui wengine wanaona kile kile ninachokiona mimi. Kama ni hivyo basi inatisha kwa kuwa sijawahi kuona hali hii ikijiri katika nchi yetu pendwa tangu ninakuwa mtu mzima miaka ile ya 1960s'.

Katika historia ya taifa letu siku zote watanzania tumekuwa tunaunganika katika masuala yenye maslahi ya taifa. Lakini katika miaka ya hivi karibuni tunaanza kuona baadhi ya watu wakifurahia pale nchi yetu inapokuwa imeshikwa pabaya.

Kwa mfano hivi sasa kuna hili suala la ndege yetu kuzuiliwa huko Afrika Kusini. Kuna watu wanashangilia. Kuna watu walishangilia pale IMF ilipotoa takwimu zake kuhusu kukua kwa uchumi kwa kuonyesha ukuaji wa 5% tofauti na takwimu za serikali zilizoonyesha ukuaji wa 7.1%.

Hata kwenye mashindano ya Afcon yaliyoisha hivi karibuni huo Cairo kuna watu walioshangilia pale tulivyofungwa na Kenya!

Kwa ufupi chochote kile kinachoonyesha Tanzania inafanya vibaya kinafanya baadhi ya watu wafanye sherehe. Kwa hakika hali hii haipendezi.

Nini kimetokea hadi tukafika mahali watu wanafurahi nchi yao ikishikwa pabaya? Tutafakari na tufanye kile Waingereza wanasema "soul searching". Haipendezi tukiendelea hivi kama taifa.
Once my dad told me " when something like this happen, don't ask what, who or when, just ask WHY. Pls mleta Mada, jiulize hili swali, "KWANINI?"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom