Hali ya usalama jiji la Dar ni mbaya sana

Hali ya usalama jiji la Dar ni mbaya sana

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,315
Reaction score
11,672
Jamani inauma sana. Kwa bahati mbaya ama nzuri watu wa Dar tuko busy na foleni, kazi,maisha n.k. yanayotokea huku mitaani ni hatari sana hadi polisi wetu wamekiri kuzidiwa.

Matukio mengi sana na ya kutisha. Watu wanakabwa na vibaka, wengine wamenyang"anywa mali zao, uvamizi na kazalika. kwa ujumla hari ni mbaya sina uwezo wa kuelezea. Kama haya matukio hayajakukuta utaona ni mzaha ukizingatia watu wa dar tuko busy.

Wakuu tumaomba tuishauri serikali na jeshi lake la poilisi lifanyeje ili liyuokoe na hatari hii. Panyaroad wapo, wengine si panyaroad ni vibaka tu ila wanatumia mwamvuli wa panya road ili kutia hofu watu na kupola mali zao kirahisi.

Natamani kova atembee mwenyewe kila kona kama wanavyo fanya mawazili ili aone vichaka vya vibaka vilipo. inauma sana. Kova amkaaaa.. tutaisha. hofu juu ya hofu.

Kuienda kituo cha polisi utashuhudia mwenyewe yaani hadi polisi wenyewe wameanza kuona hari ya kawaida. Ukitoa ripori badala ya kufanyia kazi wanaanza kukupa stori ya matukio yaliyotokea mabaya zaidi ya unaloripoti na mwisho wanakuomba!!

Nawasilisha.
 
Poleni sana dar!!huku kwetu mambo ni shwari kabisa,nina miaka kadhaa sasa sijasikia habari za wizi wala ukibaka,sasa hivi wote wanachapa kazi halali,Arusha ni shwari kuu mkuu,mulizowea kutunyooshea vidole,sasa ni zamu yenu,tuombeni ushauri.
 
Jamani inauma sana. kwa bahati mbaya ama nzuri watu wa dar tuko busy na foleni, kazi,maisha n.k. yanayo tokea huku mitaani ni hatari sana hadi polisi wetu wamekiri kuzidiwa. matukio mengi sana na ya kutisha. watu wanakabwa na vibaka, wengine wamenyang"anywa mali zao, uvamizi na kazalika. kwa ujumla hari ni mbaya sina uwezo wa kuelezea. kama haya matukio hayajakukuta utaona ni mzaha ukizingatia watu wa dar tuko busy.

wakuu tumaomba tuishauri serikali na jeshi lake la poilisi lifanyeje ili liyuokoe na hatari hii. panyaroad wapo, wengine si panyaroad ni vibaka tu ila wanatumia mwamvuli wa panya road ili kutia hofu watu na kupola mali zao kirahisi

Natamani kova atembee mwenyewe kila kona kama wanavyo fanya mawazili ili aone vichaka vya vibaka vilipo. inauma sana. Kova amkaaaa.. tutaisha. hofu juu ya hofu.
Kuienda kituo cha polisi utashuhudia mwenyewe yaani hadi polisi wenyewe wameanza kuona hari ya kawaida. ukitoa ripori badala ya kufanyia kazi wanaanza kukupa stori ya matukio yaliyotokea mabaya zaidi ya unaloripoti na mwisho wanakuomba ..................!!!!!
nawasilisha!
Hapo kwenye nafasi c umalizie tu mkuu.mwisho wake wanakuomba rushwa.wanataka kuhongwa.
 
Jeshi la polisi linawalea wezi, linashirikiana nao, linawakodishia silaha...unategemea nini?
 
Ni kweli ukabaji na uporaji umeongea! Kuna jamaa yangu mmoja juzi Kati alikuwa anamrudisha mchepuko wake toka makumbusho to kinondoni shamba kumbe yule dem alishawandaa watu wake Kuwa anakuja na naomba yule jamaa"
Jamaa Kam drive mchepuko wake huyo hadi uswazi, dem huyo a kamwambia jamaa amsindikize hadi kwao bichi chronic. .Ndipo jamaa akakutana na vibaka waliyoathirika na dem huyo wakapiga sim na hela na kipondoo juu
Jamaa a kaki mbili a polisi, polisi wakamwambia ah kesi za huko syo wewe utamind ikiwa je dem huko shamba watu wa natengeneza mazingira mpaka wanakuwa. ..jamaa kachoka.
 
Jamani inauma sana. kwa bahati mbaya ama nzuri watu wa dar tuko busy na foleni, kazi,maisha n.k. yanayo tokea huku mitaani ni hatari sana hadi polisi wetu wamekiri kuzidiwa. matukio mengi sana na ya kutisha. watu wanakabwa na vibaka, wengine wamenyang"anywa mali zao, uvamizi na kazalika. kwa ujumla hari ni mbaya sina uwezo wa kuelezea. kama haya matukio hayajakukuta utaona ni mzaha ukizingatia watu wa dar tuko busy.

wakuu tumaomba tuishauri serikali na jeshi lake la poilisi lifanyeje ili liyuokoe na hatari hii. panyaroad wapo, wengine si panyaroad ni vibaka tu ila wanatumia mwamvuli wa panya road ili kutia hofu watu na kupola mali zao kirahisi

Natamani kova atembee mwenyewe kila kona kama wanavyo fanya mawazili ili aone vichaka vya vibaka vilipo. inauma sana. Kova amkaaaa.. tutaisha. hofu juu ya hofu.
Kuienda kituo cha polisi utashuhudia mwenyewe yaani hadi polisi wenyewe wameanza kuona hari ya kawaida. ukitoa ripori badala ya kufanyia kazi wanaanza kukupa stori ya matukio yaliyotokea mabaya zaidi ya unaloripoti na mwisho wanakuomba ..................!!!!!
nawasilisha!

Watz siku hizi wanapenda kukuza mambo sijui kwa faida ya nani???? Mtoa mada wala hajasema ni eneo gani hapa Dar!! Dar ni shwari kabisa ukilinganisha Na majiji mengi hapa Afrika. Mtoa mada tembea uone!!
 

Attachments

  • 1423593644865.jpg
    1423593644865.jpg
    75.7 KB · Views: 457
Jamani inauma sana. Kwa bahati mbaya ama nzuri watu wa Dar tuko busy na foleni, kazi,maisha n.k. yanayotokea huku mitaani ni hatari sana hadi polisi wetu wamekiri kuzidiwa.

Matukio mengi sana na ya kutisha. Watu wanakabwa na vibaka, wengine wamenyang"anywa mali zao, uvamizi na kazalika. kwa ujumla hari ni mbaya sina uwezo wa kuelezea. Kama haya matukio hayajakukuta utaona ni mzaha ukizingatia watu wa dar tuko busy.

Wakuu tumaomba tuishauri serikali na jeshi lake la poilisi lifanyeje ili liyuokoe na hatari hii. Panyaroad wapo, wengine si panyaroad ni vibaka tu ila wanatumia mwamvuli wa panya road ili kutia hofu watu na kupola mali zao kirahisi.

Natamani kova atembee mwenyewe kila kona kama wanavyo fanya mawazili ili aone vichaka vya vibaka vilipo. inauma sana. Kova amkaaaa.. tutaisha. hofu juu ya hofu.

Kuienda kituo cha polisi utashuhudia mwenyewe yaani hadi polisi wenyewe wameanza kuona hari ya kawaida. Ukitoa ripori badala ya kufanyia kazi wanaanza kukupa stori ya matukio yaliyotokea mabaya zaidi ya unaloripoti na mwisho wanakuomba!!

Nawasilisha.

Rudi shule sio hari ni Hali
 
Ni kweli ukabaji na uporaji umeongea! Kuna jamaa yangu mmoja juzi Kati alikuwa anamrudisha mchepuko wake toka makumbusho to kinondoni shamba kumbe yule dem alishawandaa watu wake Kuwa anakuja na naomba yule jamaa"
Jamaa Kam drive mchepuko wake huyo hadi uswazi, dem huyo a kamwambia jamaa amsindikize hadi kwao bichi chronic. .Ndipo jamaa akakutana na vibaka waliyoathirika na dem huyo wakapiga sim na hela na kipondoo juu
Jamaa a kaki mbili a polisi, polisi wakamwambia ah kesi za huko syo wewe utamind ikiwa je dem huko shamba watu wa natengeneza mazingira mpaka wanakuwa. ..jamaa kachoka.

hapo kwenye nyekundu polisi walimwambia nini? sijaelewa kabisa. Halafu Binadamu inabidi tuishi kwa hofu ya MUNGU, michepuki si mizuri jamani.
 
....nenda kaombe kibali cha maandamano ya ukawa ndo utajua kama polisi wapo au hawapo, hayo mengine shugulikeni wenyewe, wachomeni moto, muuliwe haihusu sana serikali au usalama wa nafasi zao za uongozi so sio dili sana....
 
Mimi nikajua panya road wamerudi mtaani
 
Back
Top Bottom