Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
Kiukwel awamu hii hatutaacha kuiona rangi juu yankukatika kwa umeme
Pia mods tunaomba thread hii isiunganishwe na uzi wa tanesco Kwan hakuna msaada tuupatao kwa kadhia hii yakukatika kwa umeme
Naanza mm muda huu mbezi beach umeme umekatika yaan unakuja baada ya muda fulan unarud
Asubuh nilikuwa mbagala kilungule nako umeme haukuwepo
Vip huko kwenu Hali ipoje
Pia mods tunaomba thread hii isiunganishwe na uzi wa tanesco Kwan hakuna msaada tuupatao kwa kadhia hii yakukatika kwa umeme
Naanza mm muda huu mbezi beach umeme umekatika yaan unakuja baada ya muda fulan unarud
Asubuh nilikuwa mbagala kilungule nako umeme haukuwepo
Vip huko kwenu Hali ipoje