Hali Ya U-Dart (MwendoKasi) Si Nzuri

Hali Ya U-Dart (MwendoKasi) Si Nzuri

hapo sawa mkuu nawaona hata mm lile tabasamu la kufanya kazi hawana kama mwanzo kila kitu automatic mpaka ticket sa hizi wanaona hata aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hivi sasa tangu wiki hii imeanza basi zote zile ndefu (kumbakumba) wamezitoa kwenye huduma yaani zime_park. Sister mmoja hapa kwenye foleni ya kuingia kituoni ameniambia wameamua kuzisimamisha kwa kuwa zinakula sana mafuta kulinganisha na zile ndogo wakati idadi ya abiria waliokaa inayobeba ni ndogo aka karibia sawa na zile basi ndogo.
 
Kama Taifa ni hasara kiasi inapatikana kwa hizo njia za mwendo kasi kutumika chini ya matarajio? Je Costa zinaruhusiwa kutumia njia hizo?
Niko Kishapu, Jimbo la watu shapu, lenye mbunge shapu, anayewinda shapushapu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uonevu yaani mtu anatoka Buza mpaka kariakoo 400/= halafu Mbezi 1000 tusikubali
 
Back
Top Bottom