pole sana kamanda mungu akupe nguvu
mbunge mzima una lala bila chandarua na una kunywa maji bila kuchemsha jamani????!!!! Get well soon kamanda!
hata mimi nimetoka kukuona mda si mrefu kamanda anaendea poa.....
Kesho tunategemea kumuona kesho kitaaa.....
akili ni nywele nadhani wewe unaupara......
Anawahi kikao cha wamasai?Mh LEMA bado amelazwa katika hospital ya Aicc ambako amekuwa akitibiwa malaria na typhoid na hivi nimetoka kumuangalia pengine KESHO jumamosi atatoka na ili aweze kuhudhuria Kikao Cha wamasai Kutoka simanjiro
Mbunge mzima una lala bila chandarua na una kunywa maji bila kuchemsha jamani????!!!! Get well soon Kamanda!
maombi yetu yote yanatua kwake kamanda!
waambie hawa vilaza wajitambue sisi tunalala mahali popote jioni itakapokukutakikwete anaamini kuwa mbu humuuma mtu anapo panda kitandani tu!? Yusuph manji(muuza madawa na rafiki mkubwa wa riz!) aliugua malaria kipindi fulani na akapandwa na kichaa akakimbizwa nairobi...je nae hana net nyumbani kwake?
...kwa mtu kama lema kuugua magonjwa hayo sishangai kabisa kwani muda mwingi yuko ama barabarani, ukumbini, mikoani akikimbizana na majangili, mafisadi, wauza madawa, wang'oa kucha, wauuwaji aka ccm
kama akili ni nywele hata mbuzi anazo
Mbunge mzima una lala bila chandarua na una kunywa maji bila kuchemsha jamani????!!!! Get well soon Kamanda!
kama akili ni nywele hata mbuzi anazo