Hali ya kukosa umeme haivumiliki na Watanzania siyo wajinga kiasi hicho

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,025
Habari wana familia ya JF.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira sana, kama yatajitokeza makosa ya kiuandishi basi mniwie radhi.Ni muda kama wiki sasa tangu serikali hii dhalimu ilipotangaza mgao wa umeme kwa umma ila uhalisia mgao wa umeme ulianza muda sana tangu waziri makamba aingie pale wizarani.

Kusema ki ukweli huu mgao umegusa mfupa wa Watanzania wengi na kwa kiasi kikubwa na wengi wao wamebaki kulalamika chini chini huku wakilia na kusaga meno bila kutoa sauti.

Mimi kama mtanzania wa kawaida mwenye kipato cha kati ninazo project zangu kama nne ambazo zinahitaji umeme kwa kiasi kikubwa ili ziende, ila kwa hali hii ya nchi yangu ilipofikia ya kukosa umeme wa uhakika yaani kutwa nzima hakuna umeme inakuwa ngumu kujikwamua.

Nawaomba watanzania wenzangu hiki kilio tusilie wenyewe tena kwa kuzuia sauti isotope, bali tufanye maandamo makubwa nchi nzima ili kuishinikiza mamlaka iliyolala kama pono kufanya maamuzi ya haraka.

Umeme umeme umenifanya wikii yote nakosa usingizi.Mwezi wa 4 mwenye frem anataka kodi yake. Mama Samia hakika hautufai.
 
Habari wana familia ya JF.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira sana, kama yatajitokeza makosa ya kiuandishi basi mniwie radhi.Ni muda kama wiki sasa tangu serikali hii dhalimu ilipotangaza mgao wa umeme kwa umma ila uhalisia mgao wa umeme ulianza muda sana tangu waziri makamba aingie pale wizarani.

Kusema ki ukweli huu mgao umegusa mfupa wa Watanzania wengi na kwa kiasi kikubwa na wengi wao wamebaki kulalamika chini chini huku wakilia na kusaga meno bila kutoa sauti.

Mimi kama mtanzania wa kawaida mwenye kipato cha kati ninazo project zangu kama nne ambazo zinahitaji umeme kwa kiasi kikubwa ili ziende, ila kwa hali hii ya nchi yangu ilipofikia ya kukosa umeme wa uhakika yaani kutwa nzima hakuna umeme inakuwa ngumu kujikwamua.

Nawaomba watanzania wenzangu hiki kilio tusilie wenyewe tena kwa kuzuia sauti isotope, bali tufanye maandamo makubwa nchi nzima ili kuishinikiza mamlaka iliyolala kama pono kufanya maamuzi ya haraka.

Umeme umeme umenifanya wikii yote nakosa usingizi.Mwezi wa 4 mwenye frem anataka kodi yake. Mama Samia hakika hautufai.
Watanzania wapi utaolia nao😅. Hawa waliokubali tozo kandamizi?
 
Tuliza kichwa kunywa maji mengi muombe Mungu, kuliko kuwategemea watanzania bora uhamishie project zako nchi nyingine, hapa kuna wajinga watakuja kukwambia kwanini usinunue jenereta, hizi ndio akili mgando unazoziomba msaada.
 
Habari wana familia ya JF.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira sana, kama yatajitokeza makosa ya kiuandishi basi mniwie radhi.Ni muda kama wiki sasa tangu serikali hii dhalimu ilipotangaza mgao wa umeme kwa umma ila uhalisia mgao wa umeme ulianza muda sana tangu waziri makamba aingie pale wizarani.

Kusema ki ukweli huu mgao umegusa mfupa wa Watanzania wengi na kwa kiasi kikubwa na wengi wao wamebaki kulalamika chini chini huku wakilia na kusaga meno bila kutoa sauti.

Mimi kama mtanzania wa kawaida mwenye kipato cha kati ninazo project zangu kama nne ambazo zinahitaji umeme kwa kiasi kikubwa ili ziende, ila kwa hali hii ya nchi yangu ilipofikia ya kukosa umeme wa uhakika yaani kutwa nzima hakuna umeme inakuwa ngumu kujikwamua.

Nawaomba watanzania wenzangu hiki kilio tusilie wenyewe tena kwa kuzuia sauti isotope, bali tufanye maandamo makubwa nchi nzima ili kuishinikiza mamlaka iliyolala kama pono kufanya maamuzi ya haraka.

Umeme umeme umenifanya wikii yote nakosa usingizi.Mwezi wa 4 mwenye frem anataka kodi yake. Mama Samia hakika hautufai.
Nunua Jenerator lako kama una jeuri
 
Tuliza kichwa kunywa maji mengi muombe Mungu, kuliko kuwategemea watanzania bora uhamishie project zako nchi nyingine, hapa kuna wajinga watakuja kukwambia kwanini usinunue jenereta, hizi ndio akili mgando unazoziomba msaada.
Hayo maji yapo wapi ndugu yangu? Kwa taarifa Mbezi Mwisho hakuna maji bombani wiki imekata sasa! Ukishakua na serikali ya siasa za maji taka usitegemee kupata maji safi ya uhakika.
 
Ni maajabu sana watanzania tumekuwa yatima kwenye nchi yetu wenyewe, tumekubali kubuluzwa,kugandamizwa kwa kiwango kikubwa.Hii haikubaliki
 
Habari wana familia ya JF.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira sana, kama yatajitokeza makosa ya kiuandishi basi mniwie radhi.Ni muda kama wiki sasa tangu serikali hii dhalimu ilipotangaza mgao wa umeme kwa umma ila uhalisia mgao wa umeme ulianza muda sana tangu waziri makamba aingie pale wizarani.

Kusema ki ukweli huu mgao umegusa mfupa wa Watanzania wengi na kwa kiasi kikubwa na wengi wao wamebaki kulalamika chini chini huku wakilia na kusaga meno bila kutoa sauti.

Mimi kama mtanzania wa kawaida mwenye kipato cha kati ninazo project zangu kama nne ambazo zinahitaji umeme kwa kiasi kikubwa ili ziende, ila kwa hali hii ya nchi yangu ilipofikia ya kukosa umeme wa uhakika yaani kutwa nzima hakuna umeme inakuwa ngumu kujikwamua.

Nawaomba watanzania wenzangu hiki kilio tusilie wenyewe tena kwa kuzuia sauti isotope, bali tufanye maandamo makubwa nchi nzima ili kuishinikiza mamlaka iliyolala kama pono kufanya maamuzi ya haraka.

Umeme umeme umenifanya wikii yote nakosa usingizi.Mwezi wa 4 mwenye frem anataka kodi yake. Mama Samia hakika hautufai.
Mwisho wako ni kusema tu. Umeshasema haya kaa kwa kutulia ukiusikilizia mgao wa umeme. Kiukweli huna cha kufanya zaidi ya kusema tena huku umejificha nyuma ya fake id. Ukiumia Tena njoo useme
 
Vumilieni tu , situmekubaliana kile kitengo cha Habari pale kwa bwana kipara aka bwana umeme ndio kilikua tatizo? sasa kiko nyumbani lakini imbombo ngafu, mbombo jilipo , tutafute kitengo kingine cha kufukuza pale huenda ikasaidia umeme ukarudi kawaida kama kipindi cha jiwe
 
Halafu hapi kati walipiga mbinja kwamba makali ya mgao yamepungua, sasa sijui yasingepungua hali ingekuaje
 
Watanzania wapi utaolia nao😅. Hawa waliokubali tozo kandamizi?
Namshangaa sisi wazalendo meno yote nje tupo tunachekelea

20220129_225302.jpg
 
Ile ratiba ya mgao haikufuatwa. Februari 10, mwisho wa mgao waliotangaza. Sasa tuone kama wataendelea kukata baada ya Feb 10.
 
Wakate hata mwaka mzima akili itukae sawa,hatujui tunachohitaji na unafki tu ndio umetujaa!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Watanzania ni waoga sanaaa. Nasema tena WATANZANIA NI WAOGA SANAAA Jitu ukiliambia habari za kupigania haki yake linakuona mpuuzi na kuishia kulalamika nyuma ya mlango. Amani tunayosifiwa ni matokeo ya Watanzania wengi kuwa na mentality za uoga. Uzuri wote tunalia acha pasagike vzr bwashee!

SAMIA HAKUFAA KUWA RAISI NA HAFAI KUWA RAISI. NARUDIA. HAFAI KUWA RAISI. 2025 Mtajua wenyewe Ndugai alisema.
 
Back
Top Bottom