Hali ya kua na mawazo baada ya kufanya ngono

Hali ya kua na mawazo baada ya kufanya ngono

Marmeid

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2024
Posts
523
Reaction score
1,205
Mara nyingi mtu hujuta baada ya kufanya ngono isiyo sahihi kwa sababu tamaa huisha, lakini matokeo yake hubaki — hisia za aibu, huzuni, kutotimia kwa matarajio, na hisia ya kujidharau. Mwili hushiba kwa muda, lakini roho huumia kwa muda mrefu.

Na mara nyingi hii hali huwakuta watu wenye tabia ya kuonja onja au kulala na wanawake tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti.

Na chakushangaza ni kwamba unaeza kua na mahusiano na mwanamke ambaye anakuzungusha sana kukupa tenda lakini baada ya kukupa tendo ,, unafurahia lakin baada ya kumaliza roho ya kwann nimelala nae inakujia, ndyo mda ambao unaanza kusema kwanini nimelala nae ,, na huo ndio unakuaga mwanzo wa mahusiano mengi kuvunjika kwa sababu ya thought ambazo mtu anazipata baada ya kufanya ngono aliyo ipania kwa mda mrefu
 
Utoto tu itakua anyway...
Kama kufanya nGONO kwako na wanawake tofauti tofauti unaona ni normal wala hakuna mawazo yanayo kufanya uone unakosea na ni nje na mwanamke wako halali basi tayare wew ni mraibu wa ngono na ukisha kua mraibu huwezi hishiwa hamu na tamaa ndo inakua kimbilio lako, kwahyo ngono kwako na wanawake tofauti tofauti inakua kitu cha kawaida sana. Lakini kumbuka hakuna kitamu kilichopo free you will pay by any cost
 
Kama kufanya nGONO kwako na wanawake tofauti tofauti unaona ni normal wala hakuna mawazo yanayo kufanya uone unakosea na ni nje na mwanamke wako halali basi tayare wew ni mraibu wa ngono na ukisha kua mraibu huwezi hishiwa hamu na tamaa ndo inakua kimbilio lako, kwahyo ngono kwako na wanawake tofauti tofauti inakua kitu cha kawaida sana. Lakini kumbuka hakuna kitamu kilichopo free you will pay by any cost

Topic mpya kabisa, unachange heading na maelezo ya awali sasa? Au comprehension ni shida kwa vijana wa kileo?
 
Haka ka situation huwa kana ni tesa sana najiona nakuwa play-boy kwa sababu yakutotaka kurudia kula mama
 
Quran 59:16
"Ni kama Shetani anapomwambia mwanadamu: ‘Kufuru!’ Lakini anapo kufuru, Shetani huslsema: ‘Mimi sina uhusiano wowote nawe. Hakika mimi namuogopa Allah, Mola wa walimwengu wote.’"

Kabla ya kuzini shetani anakuwa anakupamba unaona inamake sense ila baada ya hapo anakuruka unajiskia unyonge ndo hizo guilt baada ya kulala na binti wa watu.
 
Upwiru huwa unazuia akili isifanye kazi.

Pale hujutii tu kulala na huyo mwanamke bali unatafakari muda, gharama na vitu vingine ulivopoteza kwaajili yake
 
Hiyo Hali huwa inawakuta wengi Sana especially wanawake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom