Hali ya Komredi Kinana

Bravo
 
Alitumwa kwenda kutibiwa,...haijapata kutokea chini ya jua ajabu hili, na aliporudi hakuna kiongozi wa ccm aliekwenda kumpa pole hata Jokate jamani?! uongo mbaya sana.
 
Alitumwa kwenda kutibiwa,...haijapata kutokea chini ya jua ajabu hili, na aliporudi hakuna kiongozi wa ccm aliekwenda kumpa pole hata Jokate jamani?! uongo mbaya sana.
Mbavu zangu eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Mbavu zangu eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
mkuu pole, huyu jamaa alizuia safari zote za nje hata wife wake alimtibu muhimbili tena baada ya kuanguka gafla tu ndai, ila Kinana aliekuwa buheri wa afya na kutaka kuongea na wana habari akaonekana mgonjwa wa kutwa India?! TZ ya maajabu.
 
hahaha huyu mtunga uongo alijilostisha eti nimemtuma
 
mkuu pole, huyu jamaa alizuia safari zote za nje hata wife wake alimtibu muhimbili tena baada ya kuanguka gafla tu ndai, ila Kinana aliekuwa buheri wa afya na kutaka kuongea na wana habari akaonekana mgonjwa wa kutwa India?! TZ ya maajabu.

hahaha huyu mtunga uongo alijilostisha eti nimemtuma
Tumepata ajabu lingine la dunia
 
Kinana hakuwa anaumwa wala hajaenda India, yupo fiti labda aliumwa mafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…