Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Wakuu;
Kwa siku za hivi karibuni Mh. Nyalandu amekuwa mstari wa mbele sana katika huduma za kitabibu kwa watu mbalimbali.
Sote ni mashuhuda namna alivyokua msaada mkubwa sana kwa wale watoto wahanga wa ajali ya bus la st. Vincent, mpaka hivi karibuni kutaka kutoa huduma kama hiyo hiyo kwa Lissu.
Baada ya kuona jitihada zake katika eneo hilo la huduma nilikuwa na hisia kwamba ni mtu anayejali sana huduma ya afya, nikavutiwa kujua hali ya hospitali katika jimbo analoliwakilisha nikimamanisha upatikanaji wa madawa na vifaa.
Nikashawishika kujua ni wananchi wangapi toka jimboni kwake wamefaidika na huduma kama aliyoitoa kwa wale watoto waliokumbwa na yale maswahiba.
Mwenye uelewa awe msaada, ni hayo tu wadau.
Kwa siku za hivi karibuni Mh. Nyalandu amekuwa mstari wa mbele sana katika huduma za kitabibu kwa watu mbalimbali.
Sote ni mashuhuda namna alivyokua msaada mkubwa sana kwa wale watoto wahanga wa ajali ya bus la st. Vincent, mpaka hivi karibuni kutaka kutoa huduma kama hiyo hiyo kwa Lissu.
Baada ya kuona jitihada zake katika eneo hilo la huduma nilikuwa na hisia kwamba ni mtu anayejali sana huduma ya afya, nikavutiwa kujua hali ya hospitali katika jimbo analoliwakilisha nikimamanisha upatikanaji wa madawa na vifaa.
Nikashawishika kujua ni wananchi wangapi toka jimboni kwake wamefaidika na huduma kama aliyoitoa kwa wale watoto waliokumbwa na yale maswahiba.
Mwenye uelewa awe msaada, ni hayo tu wadau.