Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

😅😅 watu wa Dar wanakula sana supu ya pweza mkuu.. pia dar watu wame haribikiwa sana kuliko huko maeneo mengine.. Dar watu wamelewa mvinyo wa minyanduano ... mda kamaa huu kuna maeneo ni kama sodoma na gomoraa .. mikoani kuna mengi ya kujifunza kutoka dar es salaam..

Baridi sio kichocheo cha nyege aisee.. ingekuwa hivyo kuna nchi za ulaya ingekuwa shidaa.. mfano mie kukiwa na baridi huwa sitaki hata kusogeleana na mwanamke.. 😊
Dar wanajifunza ngono aiseee,,,nimetembea vijijini Kanda ya Rift valley watu wanazagumuana kama mwisho wa Dunia.....wanakunywa pombe za kienyeji kila mtu na mtuwe we acha kabisa shem!
 
Dar wanajifunza ngono aiseee,,,nimetembea vijijini Kanda ya Rift valley watu wanazagumuana kama mwisho wa Dunia.....wanakunywa pombe za kienyeji kila mtu na mtuwe we acha kabisa shem!
😅😅😅 dar wanajifunza eeh.. huijui dar weyeeee...
 
Kipindi cha kuzaliana kwa fujo bila limit😅😅
 
DahDar hiii hii au Kuna Dar mpya nisiyoijua??

Acheni maskhara bwana mikoani wanapelekeana moto kimasikhara tena bila protection,,mna kasumba tu ya kuikazania Dar ndio Kuna uhuni!
Dar wanaikuza buree tyuuh, mambo ya kupelekeana moto iko mikoani, hasa ya baridiii
 
Dah🤣🤣🤣🤣Dar hiii hii au Kuna Dar mpya nisiyoijua??

Acheni maskhara bwana mikoani wanapelekeana moto kimasikhara tena bila protection,,mna kasumba tu ya kuikazania Dar ndio Kuna uhuni!
upo wapi ? nataka twende maeneo kaka kumi siku nzimaaa.. ndio utaelewaaa
 
Back
Top Bottom