BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Watu tunawaza nguo na mashuka vinakauka vipi nyie mnawaza mizagamuano.Baridi mwenzie mzagamuano.
Hiki ndio kipindi cha kina dada kutumiwa msg za kuwa wamemisiwa na kuitwa majumbani kwa wanaume.
