Hali ya hewa kuwa mbaya

Hali ya hewa kuwa mbaya

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa baharini katika maeneo yote ya Pwani kuanzia kesho na kesho kutwa.
 
Kama beach zitafungwa itasaidia sana. Ila wakifungua no way out raia watajimwaga tu.
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa baharini katika maeneo yote ya Pwani kuanzia kesho na kesho kutwa.

Mwaka juzi walitoa waraka wa tahadhari hadi kwa mabalozi na wawakilishi mbali mbali waliopo hapa nchini. Ilizua taharuki kubwa na wala hakikutokea chochote.
 
dah xmass imeshaharibika tena hivyo, no kujirusha beach
 
!
!
hao TMA wameshaangalia CNN au katika viandroid vyao wanasema wametabiri......teh teh teh teh, tunazo na sie hizi android jamani
 
Christmas yangu Sunrise imishaingia ruba, ngoja niplan kivingine tena
 
Mwaka juzi walitoa waraka wa tahadhari hadi kwa mabalozi na wawakilishi mbali mbali waliopo hapa nchini. Ilizua taharuki kubwa na wala hakikutokea chochote.

ndo maana wamesema utabiri
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa baharini katika maeneo yote ya Pwani kuanzia kesho na kesho kutwa.

ImageUploadedByJamiiForums1387874346.487313.jpg
 
Mnakumbuka TSUNAMI ya mwaka 2004 iliyoanzia kule Banda ache Indonesia? Ilitokea tarehe kama hizi...tahadhari muhimu!
 
Tahadhari kwa Ikulu ya JK na mawaziri wake waliopo MASAKI. POLENI SN MASKINI WENZANGU WALIOPO OCEAN ROAD HOSPT KAMA JANGA HILI LITATOKEA.
 
Doh bora wasiende kufanya uchafu wao huko baharini, maana Hata bahari inakasirika!
 
hao wakikosa kazi huwa ni kutia watu hofu.Mwaka jana walisema itanyesha mvua ya mafuriko dsm,kilichotokea jua la kufa mtu hata manyunyu hatukuona
 
wabongo na ubishi wao watajimwaga bila woga,..
 
Back
Top Bottom