waawanachoma makanisa na kuchukua visadaka, na vitu vingine
Ni mwendelezo wa kupinga kitendo cha mgalatia mmoja kukujolea msahafu.
lakini si kanisa la kkkt kama ilivyokuwa ikisemwa. wamewaumiza walinzi tu. hizi ni taarifa kutoka kwa mchungaji wa kkkt yombo.
Ndugu zangu waislam! naomba kutumia nafasi hii adhim katika mtandao huu wa jamii forum, kuwaomba kudumisha amani na mshikamano miongoni mwetu. Kama tulivyofundishwa maana ya uslam kuwa ni unyenyekevu na utii mbele ya allah(S.W). Uislam ni dini ya kupigiwa mfano kwa yaliyo mema. Ni wajibu wa kila muislam kuamrisha mema na kukataza mabaya. Nasikitishwa sana na haya matukio ya uchomaji wa makanisa yanaleta picha mbaya sana kwa umma wa kiislam na kumdhalilisha mtume wetu Muhammad (S.A.W). Tukae na viongozi wetu wa nchi, dini na misikiti tuainishe nini hasa kinachotukera na ikiwezekana tupaze sauti kwa watawala na kuicha taswira ya uislamu ikiwa safi. Katika vurugu hizi zinazoendelea kila kukicha wanaoshiriki wengi si waislamu sasa uanochafuka ni uislamu. Tafadhali ndugu zangu tusikubali kutumiwa na watu wabaya kuidhalilisha dini ya mwenyezi Mungu (S.A). Wakristo ni ndugu zetu, jamaa zetu na watanzania wenzetu kama kuna sehemu wametukosea tuambizane kwa upendo na tukosoane kwa njia zinazofaa. Najisikia aibu kila unapotajwa uislam kwenye vurugu. Inshallah mwenyezi Mungu atupe muafaka.
Wabillah tawfiq.
polisi wanajitahidi jamani .tusiwalaumu maana wanakamata na inapodidi wanatia fimbo.vurugu kubwa tandika waislamu wanachoma makanisa!!!polisi chukueni hatua!!nchi inagawanyika...!!!
Ni kanisa gani?lakini si kanisa la kkkt kama ilivyokuwa ikisemwa. wamewaumiza walinzi tu. hizi ni taarifa kutoka kwa mchungaji wa kkkt yombo.
hata mie imecheka sana, mgalatia !!1 duh
tandika yombo ndo kimesanuka!!nipo busy kutafuta nyuzi ntawamwagia shortly within a min!