Hali ya Hatari Tandika!!

lakini si kanisa la kkkt kama ilivyokuwa ikisemwa. wamewaumiza walinzi tu. hizi ni taarifa kutoka kwa mchungaji wa kkkt yombo.
 
sasa wakristo inabidi walinde nyumba za ibada zidi ya magenge ya hawa wezi

sio tu kutoa matamko bila kuchukua hatua hata Mungu atawashangaa kwani hata Yesu alipo ona nyumba ya ibada inavamiwa na wafanya biashara alichukuwa hatua ya kuwaondoa kwa nguvu sasa inakuwaje hawa waendelee kufanya vurugu wangaliwe tu
 
Makanisa wachome sadaka,vinanda,ngoma na vinanda watuachie
 
lakini si kanisa la kkkt kama ilivyokuwa ikisemwa. wamewaumiza walinzi tu. hizi ni taarifa kutoka kwa mchungaji wa kkkt yombo.

Nikimfuma ustadhi ubwabwa anachoma nikimtandika mshale wa makalio nitakuwa nimekosea?
 
Ivi kuna eneo laitwa Tandika Yombo pls locate it!
Nijuacho ni kuwa kuna mtaa wa Yombo maeneo ya CCM kata 14karibu na shule ya msingi Madenge
 
Ndugu zangu waislam! naomba kutumia nafasi hii adhim katika mtandao huu wa jamii forum, kuwaomba kudumisha amani na mshikamano miongoni mwetu. Kama tulivyofundishwa maana ya uslam kuwa ni unyenyekevu na utii mbele ya allah(S.W). Uislam ni dini ya kupigiwa mfano kwa yaliyo mema. Ni wajibu wa kila muislam kuamrisha mema na kukataza mabaya. Nasikitishwa sana na haya matukio ya uchomaji wa makanisa yanaleta picha mbaya sana kwa umma wa kiislam na kumdhalilisha mtume wetu Muhammad (S.A.W). Tukae na viongozi wetu wa nchi, dini na misikiti tuainishe nini hasa kinachotukera na ikiwezekana tupaze sauti kwa watawala na kuicha taswira ya uislamu ikiwa safi. Katika vurugu hizi zinazoendelea kila kukicha wanaoshiriki wengi si waislamu sasa uanochafuka ni uislamu. Tafadhali ndugu zangu tusikubali kutumiwa na watu wabaya kuidhalilisha dini ya mwenyezi Mungu (S.A). Wakristo ni ndugu zetu, jamaa zetu na watanzania wenzetu kama kuna sehemu wametukosea tuambizane kwa upendo na tukosoane kwa njia zinazofaa. Najisikia aibu kila unapotajwa uislam kwenye vurugu. Inshallah mwenyezi Mungu atupe muafaka.

Wabillah tawfiq.

Inachekesha! mie ni mgala hali yangu ni ya ungango nikijikuna unga unatoka! Mlo mmoja ni kama sikukuu! kila kukicha afazali ya jana! Wee ponda na wafuasi wako nimewazulumu nini? au kosa langu kuwa mgala! Mmelianzisha ndio mtafahamu tofauti ya mgala na Mkristo!
 
Yule bibi wa kituo cha haki za binadamu, labda atoe tamko akitetemeka inaweza saidia...!
 
tandika yombo ndo kimesanuka!!nipo busy kutafuta nyuzi ntawamwagia shortly within a min!

viongozi wetu wameshakipata walichokuwa wanakitaka, tusubiri tuone hatma yake. Sisi tulioko ughaibuni tunawaonea huruma sana watanzania wenzetu. Wikiendi nakuja kuchukua wazazi wangu nije niwahifadhi huku, mpaka huu upepo upite kwanza, kama asemavyo mkulu
 
Ha ha haaa naona wanatafuta sadaka sasa si wakavamie mabenki we sadaka kutoka jumapili o jumamosi hadi leo

Hawajui taiming waambie wasubiri wagalatia wazichange make najua jumapili wenye upendo tutachangiana kurudishia hasara zao

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom