Hali ya Hatari Tandika!!

Hali ya Hatari Tandika!!

oya hebu muwe mnapata habari kamili ndio mseme sio unasikia tuu au mnatutania tuu kutuambia makanisa yanachomwa msizani watu tunafurahia kusikia makanisa yanachomwa au msizani sifa kusema makanisa yanachomwa. watu huwatunachanga kuyajenga hayo makanisa so mnavyozungumza makanisa yanachomwa msione sifa wengine roho zinatuuma maana kuchoma madhabau sio kitu kidogo. so kama umesikia wapi huko tandika ambapo makanisa yanachomwa
 
Shauri yenu jifanyeni mnajua kuandika sana! Mtashangaa hata hiyo computer yako inachomwa moto sasa hivi! Mi siandiki tena. Takbir! Choma JF!
 
kwani hao wakina msangi, ighondu na zoka, wanangoja nini kuwang'oa hao watu kucha na meno bila ganzi????? Kamuhanda naye kwa nini hawafumui matumbo???? Arrrrggghhhh! I hate ccm, i hate my president!
sasa ccm na presidenti wanahusika je hapa aisee! Ina maana mimi nikikurupuka hapa nikiwasha kanisa wakulaumiwa ni ccm na kikwete aise!cha msingi tu ni serikali kuwashughulikia wanaofanya fujo
 
Ndugu zangu waislam! naomba kutumia nafasi hii adhim katika mtandao huu wa jamii forum, kuwaomba kudumisha amani na mshikamano miongoni mwetu. Kama tulivyofundishwa maana ya uslam kuwa ni unyenyekevu na utii mbele ya allah(S.W). Uislam ni dini ya kupigiwa mfano kwa yaliyo mema. Ni wajibu wa kila muislam kuamrisha mema na kukataza mabaya. Nasikitishwa sana na haya matukio ya uchomaji wa makanisa yanaleta picha mbaya sana kwa umma wa kiislam na kumdhalilisha mtume wetu Muhammad (S.A.W). Tukae na viongozi wetu wa nchi, dini na misikiti tuainishe nini hasa kinachotukera na ikiwezekana tupaze sauti kwa watawala na kuicha taswira ya uislamu ikiwa safi. Katika vurugu hizi zinazoendelea kila kukicha wanaoshiriki wengi si waislamu sasa uanochafuka ni uislamu. Tafadhali ndugu zangu tusikubali kutumiwa na watu wabaya kuidhalilisha dini ya mwenyezi Mungu (S.A). Wakristo ni ndugu zetu, jamaa zetu na watanzania wenzetu kama kuna sehemu wametukosea tuambizane kwa upendo na tukosoane kwa njia zinazofaa. Najisikia aibu kila unapotajwa uislam kwenye vurugu. Inshallah mwenyezi Mungu atupe muafaka.

Wabillah tawfiq.
 
Sheikh naona una hekima sana.

Sent from my LT26i using Tapatalk 2
 
An empty mind is the workshop of the devil, haya yote ni matokea ya watu kuendekeza uvivu wa kutofanya kazi na kuanza kusungumza ombea na kujenga chuki kwa watu wa tofauti na imani yao
 
Ndugu zangu waislam! naomba kutumia nafasi hii adhim katika mtandao huu wa jamii forum, kuwaomba kudumisha amani na mshikamano miongoni mwetu. Kama tulivyofundishwa maana ya uslam kuwa ni unyenyekevu na utii mbele ya allah(S.W). Uislam ni dini ya kupigiwa mfano kwa yaliyo mema. Ni wajibu wa kila muislam kuamrisha mema na kukataza mabaya. Nasikitishwa sana na haya matukio ya uchomaji wa makanisa yanaleta picha mbaya sana kwa umma wa kiislam na kumdhalilisha mtume wetu Muhammad (S.A.W). Tukae na viongozi wetu wa nchi, dini na misikiti tuainishe nini hasa kinachotukera na ikiwezekana tupaze sauti kwa watawala na kuicha taswira ya uislamu ikiwa safi. Katika vurugu hizi zinazoendelea kila kukicha wanaoshiriki wengi si waislamu sasa uanochafuka ni uislamu. Tafadhali ndugu zangu tusikubali kutumiwa na watu wabaya kuidhalilisha dini ya mwenyezi Mungu (S.A). Wakristo ni ndugu zetu, jamaa zetu na watanzania wenzetu kama kuna sehemu wametukosea tuambizane kwa upendo na tukosoane kwa njia zinazofaa. Najisikia aibu kila unapotajwa uislam kwenye vurugu. Inshallah mwenyezi Mungu atupe muafaka.

Wabillah tawfiq.

Umenena maneno mazito yenye hekima na busara. Laiti wangesikia na kuyafanyia kazi uliyoyanena tungefika mbali. Amani, utulivu na undugu wetu wa kihostoria ktk nchi yetu ni bora kuliko kitu chochote. Naamini ktk mazungumzo kwa njia ya amani ili tufikie mwafaka. Vita ya dini hatari sana, naiogopa mno. Sote ni ndugu, Mungu wetu tunayemwabudu ni Mmoja, tupendane tutabarikiwa. "EE MUNGU TUEPUSHE NA HII LAANA YA UDINI". Mungu ibariki Tanzania.
 
kama kweli kuna hizo vurugu basi wekeni picha tujionee wenyewe.in maana hakuna hata mwana jf mmoja anayekaa pande hizo anayeweza kutupa picha humu?
 
Back
Top Bottom