Hali ya hatari kwa CHADEMA

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Wana JF

Dalili zinaonyesha kuwa upo mkakati mkubwa umesukwa kuivuruga CHADEMA kwa mbinu mbalimbali. Kwa mfano ukiangalia kwa sasa mara baada ya CCM kumtosa EL na RA vyombo vya habari vya ITV na Redio one vimegeuza mwelekeo na sasa vinapenyeza kiaina habari mbaya zote zinaelekezwa kwa CHADEMA ili kuifanya CDM isikubalike na wananchi.

Upo mkakati unafanyika ili kuwavunja nguvu wabunge wa CHADEMA wakose kujiamini bungeni unaofanywa na Spika wa bunge na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo Radio one na ITV ili ionekene kuwa wabunge wa CHADEMA hawajui kanuni za bunge mfano Spika Makinda ameripotiwa kuwa Bunge la bajeti la mwaka huu itabidi lianze kwa wabunge kufundishwa kanuni kwani eti wabunge wengi hasa wa upinzani ni wapya hawajui kanuni wanaropoka hovyo bungeni hii si kweli hata kidogo wote tunafuatilia bunge na tuna macho ni ujinga kutufanya hatujui nani hafuati kanuni. Mtaona pia yale yaliozungumzwa wiki iliyopita na Katibu wa Bunge ilikuwa moja ya mbinu za mkakati huo unaoratibiwa kistadi isivyorahisi kugundulika na mwanachi wa kawaida.

Mkakakati mwingine ni kuwatumia wabunge mamluki waliondani ya CHADEMA kuanzisha vurugu kwa kutafuta hoja za kuvuruga chama.

Nilitoa angalizo mapema kuwa CCM sasa watatumia sana wale waandishi mahiri ambao wanaaminiwa na wananchi kuivuruga CHADEMA.

CHADEMA isimame imara kwani ikikubali kuvurugwa kama vyama vingine vilivyosambaratishwa na CCM itakuwa ndio mwisho wa imani ya wananchi wa nchi hii kwa vyama vya upinzani. Kumbukeni CHADEMA kilivyosaidia watu wengi kuamka na kujua haki zao na kimefanya CCM kujikuta kiko uchi na wizi wa mali za uuma umepungia. CHONDECHONDE kuweni makini. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU ILINDE CHADEMA.
 
Chadema tayari imeshakuwa 'hisia' ukombozi -imezama vichwani mwetu kama moshi wa bangi unavyozama kwa mtumiaji

Hata likifa jina CDM hisia za kiukombozi hazitakufa daima till malengo yamefikiwa
 
cdm wakaze buti waondoe mifarakano baina yao. Chama kiepuke kusikiliza mawazo ya upande mmoja; kuna watu wanajifanya wao ni bora kuliko wengine.

mbunge kama lema anajiona yeye ni damu ya chadema kuliko zito wakati ambapo kimawazo zito yuko juu; cdm inaharibiwa na uriho wa madaraka na ufisadi wa akina mbowe
 
cdm wakaze buti waondoe mifarakano baina yao. Chama kiepuke kusikiliza mawazo ya upande mmoja; kuna watu wanajifanya wao ni bora kuliko wengine.

mbunge kama lema anajiona yeye ni damu ya chadema kuliko zito wakati ambapo kimawazo zito yuko juu; cdm inaharibiwa na uriho wa madaraka na ufisadi wa akina mbowe
Ni lazima hiki chama kiitishe uchaguzi mkuu mapema kwa ajili ya kumwondoa mwenyekiti uwezo wake huendani na matakwa ya cdm kwa sasa msipojivua gamaba hiki chama kitakuwa kama NCCR ama TLP
 
Mhmm hii habari ina matatizo kidogo! Hapa hoja ni ipi?
  1. CCM imewatosa EL na RA; na imewatosa lini Wakuu! au hizi ndio habari za Pwagu na Pwaguzi!
  2. Mkakati Mkubwa wa kuivuruga CDM! Mbona hakuna Mpango Mkakati ulioainishwa hapa?
Sahamani sana wakuu mi naona kama hizo hoja mbili zimekaa hapo pamoja lakini zina maudhui tofauti ukiachiambali kuwa zote hazina ushahidi, lakini ya kwanza imefanyika lini labda mimi ndio sina taarifa naomba kufahamishwa CCM imewatosa hao watu lini na wapi? au hii habari ina lenga kutu adaha kuwa tayari wametoswa hivyo hatuna budi kuridhilika maana sasa mambo yapo shwali? huo sio uongo wakuu?

Habari ya pili, pia naona kama ipo hapa kusherehesha habari namba moja, yaani hoja ya kusimika uongo.

Mtoa taarifa naomba kuwekwa sawa, CCM imewatosa lini hao watajwa? pia lete ushahidi wa Mpango wa kuivuruga CDM kichwa cha habari hakitoshi kuwa ushahidi hata kama kinafurahisha.
 
cdm wakaze buti waondoe mifarakano baina yao. Chama kiepuke kusikiliza mawazo ya upande mmoja; kuna watu wanajifanya wao ni bora kuliko wengine.

mbunge kama lema anajiona yeye ni damu ya chadema kuliko zito wakati ambapo kimawazo zito yuko juu; cdm inaharibiwa na uriho wa madaraka na ufisadi wa akina mbowe

Hawa ndio wale walio na kazi ya kuibomoa CDM haiwezekani ukimbilie mambo ya uchaguzi kuwaondaa watu waliokijenga chama. Hizi ndio njama za kina Zitto zisizo na mashiko.
 
Mhmm hii habari ina matatizo kidogo! Hapa hoja ni ipi?
  1. CCM imewatosa EL na RA; na imewatosa lini Wakuu! au hizi ndio habari za Pwagu na Pwaguzi!
  2. Mkakati Mkubwa wa kuivuruga CDM! Mbona hakuna Mpango Mkakati ulioainishwa hapa?
Sahamani sana wakuu mi naona kama hizo hoja mbili zimekaa hapo pamoja lakini zina maudhui tofauti ukiachiambali kuwa zote hazina ushahidi, lakini ya kwanza imefanyika lini labda mimi ndio sina taarifa naomba kufahamishwa CCM imewatosa hao watu lini na wapi? au hii habari ina lenga kutu adaha kuwa tayari wametoswa hivyo hatuna budi kuridhilika maana sasa mambo yapo shwali? huo sio uongo wakuu?

Habari ya pili, pia naona kama ipo hapa kusherehesha habari namba moja, yaani hoja ya kusimika uongo.

Mtoa taarifa naomba kuwekwa sawa, CCM imewatosa lini hao watajwa? pia lete ushahidi wa Mpango wa kuivuruga CDM kichwa cha habari hakitoshi kuwa ushahidi hata kama kinafurahisha.


Naunga mkono mawazo haya ni ya msingi, kuleta hoja zilizo na walakini kwa maana ya kutokuwa na ushahidi itaondoa hata maana ya great thinkers.
 
Wana JF

Dalili zinaonyesha kuwa upo mkakati mkubwa umesukwa kuivuruga CHADEMA kwa mbinu mbalimbali. Kwa mfano ukiangalia kwa sasa mara baada ya CCM kumtosa EL na RA vyombo vya habari vya ITV na Redio one vimegeuza mwelekeo na sasa vinapenyeza kiaina habari mbaya zote zinaelekezwa kwa CHADEMA ili kuifanya CDM isikubalike na wananchi.

Upo mkakati unafanyika ili kuwavunja nguvu wabunge wa CHADEMA wakose kujiamini bungeni unaofanywa na Spika wa bunge na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo Radio one na ITV ili ionekene kuwa wabunge wa CHADEMA hawajui kanuni za bunge mfano Spika Makinda ameripotiwa kuwa Bunge la bajeti la mwaka huu itabidi lianze kwa wabunge kufundishwa kanuni kwani eti wabunge wengi hasa wa upinzani ni wapya hawajui kanuni wanaropoka hovyo bungeni hii si kweli hata kidogo wote tunafuatilia bunge na tuna macho ni ujinga kutufanya hatujui nani hafuati kanuni. Mtaona pia yale yaliozungumzwa wiki iliyopita na Katibu wa Bunge ilikuwa moja ya mbinu za mkakati huo unaoratibiwa kistadi isivyorahisi kugundulika na mwanachi wa kawaida.

Mkakakati mwingine ni kuwatumia wabunge mamluki waliondani ya CHADEMA kuanzisha vurugu kwa kutafuta hoja za kuvuruga chama.

Nilitoa angalizo mapema kuwa CCM sasa watatumia sana wale waandishi mahiri ambao wanaaminiwa na wananchi kuivuruga CHADEMA.

CHADEMA isimame imara kwani ikikubali kuvurugwa kama vyama vingine vilivyosambaratishwa na CCM itakuwa ndio mwisho wa imani ya wananchi wa nchi hii kwa vyama vya upinzani. Kumbukeni CHADEMA kilivyosaidia watu wengi kuamka na kujua haki zao na kimefanya CCM kujikuta kiko uchi na wizi wa mali za uuma umepungia. CHONDECHONDE kuweni makini. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU ILINDE CHADEMA.

Hii ni pumba tupu.
CHADEMA itajivuruga yenyewe kwa kutokuwa na muelekeo sahihi unaopendwa na wananchi wa kawaida.
Full stop.
Kilio cha ufisadi ndani ya CCM na Serikali kimeeleweka vyema, lakini hiyo si sera ya kukipeleka CDM Ikulu.
Kwa taarifa yako mafisadi(wafanyabiashara) walioko CCM ndio hao hao walioko CDM.
 
nafikiri baada ya mwamvuli(SAMWELI SITTA), Kuondolewa juu ya makinda na baadhi ya watu ndani ya ccm kwa malengo yao binafsi bila kufanya tathmin juu ya uwezo wa makinda wakitegemea kwamba watafanikisha malengo yao inaweza ikawa kinyume cha mambo kwasababu kwa muda huu mfupi kila mtu mwenye akili timamu bila kujali kama amesoma au la anamdharau makinda. kwahiyo mimi sioni kama makinda ni mtu mwenye akili ya kuyumbisha wabunge wa chadema, lakini ni vizuri pia chadema wakachukua tahadhari kwa kuwa makini zaidi ili mwisho wa siku adui zetu waumbuke.
 
Huu upuuzi mtupu! Cdm haiwezi kuvurugwa na wapumbavu wa CCM kwani wao hawani upeo wowote kwa sasa, nani mwenye uwezo hou? Kwani wajinga wale wa cloudsfm ndio wameshika akili za watanzania? Atakayevurugwa ni mpuuzi yeye binafsi sio sie wenye uelewa. hata hii mada pia haina mantiki zaidi ya uoga usio na maana. Mimi ni mpigania haki wa kweli tena siyumbishwi eti kisa spika kasema hili au coulds wamezusha lile, ninajua ninachotaka full stop. "You can cheat some poeple some time...but you cant cheat all the people all the time' CCm inakufa haiwezi kuacha kutapatapa
 
Tatizo la CDM ni lao wasizingizie CCM kwani pale kuna umwinyi;kuna wanaojionna wao ndo wenyewe na mvurugaji wa CDM ni MBW kwani anafanya udikteta na zito anaimamia haki htaki kuburuzwa.MBW anajenga MTANDAO wakati anajua mtandao umeshaua CCM utaiua CDM pia
 
Chadema tayari imeshakuwa 'hisia' ukombozi -imezama vichwani mwetu kama moshi wa bangi unavyozama kwa mtumiaji

Hata likifa jina CDM hisia za kiukombozi hazitakufa daima till malengo yamefikiwa

Well said!! You can kill a person but never an idea
 
Wana JF

Dalili zinaonyesha kuwa upo mkakati mkubwa umesukwa kuivuruga CHADEMA kwa mbinu mbalimbali. Kwa mfano ukiangalia kwa sasa mara baada ya CCM kumtosa EL na RA vyombo vya habari vya ITV na Redio one vimegeuza mwelekeo na sasa vinapenyeza kiaina habari mbaya zote zinaelekezwa kwa CHADEMA ili kuifanya CDM isikubalike na wananchi.

Upo mkakati unafanyika ili kuwavunja nguvu wabunge wa CHADEMA wakose kujiamini bungeni unaofanywa na Spika wa bunge na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo Radio one na ITV ili ionekene kuwa wabunge wa CHADEMA hawajui kanuni za bunge mfano Spika Makinda ameripotiwa kuwa Bunge la bajeti la mwaka huu itabidi lianze kwa wabunge kufundishwa kanuni kwani eti wabunge wengi hasa wa upinzani ni wapya hawajui kanuni wanaropoka hovyo bungeni hii si kweli hata kidogo wote tunafuatilia bunge na tuna macho ni ujinga kutufanya hatujui nani hafuati kanuni. Mtaona pia yale yaliozungumzwa wiki iliyopita na Katibu wa Bunge ilikuwa moja ya mbinu za mkakati huo unaoratibiwa kistadi isivyorahisi kugundulika na mwanachi wa kawaida.

Mkakakati mwingine ni kuwatumia wabunge mamluki waliondani ya CHADEMA kuanzisha vurugu kwa kutafuta hoja za kuvuruga chama.

Nilitoa angalizo mapema kuwa CCM sasa watatumia sana wale waandishi mahiri ambao wanaaminiwa na wananchi kuivuruga CHADEMA.

CHADEMA isimame imara kwani ikikubali kuvurugwa kama vyama vingine vilivyosambaratishwa na CCM itakuwa ndio mwisho wa imani ya wananchi wa nchi hii kwa vyama vya upinzani. Kumbukeni CHADEMA kilivyosaidia watu wengi kuamka na kujua haki zao na kimefanya CCM kujikuta kiko uchi na wizi wa mali za uuma umepungia. CHONDECHONDE kuweni makini. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU ILINDE CHADEMA.

Sasa hili la ufisadi wa kununua magari chakavu nalo ni la CCM ? mlaumuni Slaa (katibu wenu) ambae alileta na alipendekeza kwenye kamati kuu hoja hii ili hali anajua ni kinyume na sheria za manunuzi ya nchi. Zitto kusema ukweli imekuwa hamuutaki. Msimtafute mchawi jivueni magamba !
 
Na kitakachofanya CDM kufa mapema kuliko ilivyotarajiwa ni kujisikia na pia kutokujipambanua kisera na kimkakati.Tatizo kubwa la hiki chama kimekumbatia matajiri wakubwa na kuwadharau wazalendo na watu wasioegemea siasa za ubinafsi kama kina Zitto.
 
Back
Top Bottom