kwani wewe hujui?
Ningekuwa najua ningekuuliza?
kwani wewe hujui?
check kwa facebook, yupo live and active.
suala la katiba si la slaa ni wa watanzania wote,
Hivi nyie waislamu chuki yenu kwa ukristo inawasaidia nini hasa zaidi ya kuonekana wavivu wa kufikiri.
Atafanya kazi gani wakati hana kazi!kazi yake kuu ni kupiga majungu!!
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu.
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Ningekuwa najua ningekuuliza?
Mpaka sasa kaishiwa HOJA
labda ategemee upande mwingine wa imani
natoa angalizo kwa umma mzima wa jf, tafadhali msijibu wala kujadili hoja za huyu jeykeywaukweli. Zimekaa kichokozi na zipo kuleta uvunjifu wa amani.... When you argue with a fool, people will fail to differentiate between the two of you. Bora tukua kimya tumuache aendelee kubwata unafiki na uzandiki wake.
Hivi nyie waislamu chuki yenu kwa ukristo inawasaidia nini hasa zaidi ya kuonekana wavivu wa kufikiri.
'
unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri
we ni mtanzania? una uchungu wa dhati na nchi hii?kwani wewe hujui?