Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu.
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??