DOKEZO Hali ya Barabara ya Madale Mwisho-Mbopo-Mabwepande ni mbaya sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mangi wa Rombo

Senior Member
Sep 25, 2014
172
104
Habari!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.

Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni kuvushwa.

Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.


Pia soma - Dar: Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbovu


 
Habari!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.

Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni kuvushwa.

Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.


Pia soma - Dar: Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbovu
Huko napo ni Dar?
 
Huyo kiazi mwenye hilo gari hakuyaona maji au maji ndo yalimkuta hapo??

Kwa akili ya kawaida jamaa alitegemea atatoboa hapo!!
Ajabu
 
Habari!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.

Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni kuvushwa.

Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.


Pia soma - Dar: Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbovu
View attachment 2802817
View attachment 2802818
View attachment 2802821

Asante sana! Labda ujumbe utawafikia maana kila tukisema wanafunga masikio
 
Sio tu mbopo pia kutoka msigani kwenda kinondo Kuna ule unahatarisha sana maisha ya wanafunzi na pia hawezi kwenda shule kwa sababu ni ule mto
 
Sio tu mbopo pia kutoka msigani kwenda kinondo Kuna ule unahatarisha sana maisha ya wanafunzi na pia hawezi kwenda shule kwa sababu ni ule mto
Na mvua hizi bara bara mfinyanzi
Inavyoteleza huko noma
Huko sijui kama watatengeneza barabara

Ova
 
Hii ni barabara inayounganisha maeneo ya Madale na Mbopo (Dar es Salaam), inatumiwa sana na Watoto wa Shule lakini ni miaka mitatu tangu Mbunge wetu wa Kawe alipotupa ahadi kuwa ya kutuwekea daraja sehemu hii.

Kibaya zaidi kuna watu wanaendelea na shughuli ya kuchimba mchanga na wengine wanaendelea kujenga kufuata Barabara lakini Serikali ipo kimya.

Baada ya muda watakuja na staili yao ya kukurupuka na kuleta hoja ya kuvunja nyumba za watu kwamba wamevamia Hifadhi ya Barabara.

Ni jambo ambalo linasikitisha sana, barabara hii ina upana wa Mita 70 na ninavyojua ipo chini ya TANROADS.
 
Habari!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.

Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni kuvushwa.

Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.


Pia soma - Dar: Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbovu
View attachment 2802817
View attachment 2802818
View attachment 2802821
Huku ndio kule kule MSUMI watu wanateseka hasa.
 
Habari!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.

Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni kuvushwa.

Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.


Pia soma - Dar: Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbovu
View attachment 2802817
View attachment 2802818
View attachment 2802821
Mods naona ni wajomba zako, habari moja umeigawa mara mbili kwa vichwa tofauti na zinaishi! Kweli Mods ni wajomba zako.
 
Tumeshaomba sana na kuwasiliana na mbunge wa kawe bila mafanikio! Manispaa ya Kinondoni, TARURA tusaidieni hata makaravati tu watoto wetu waende shule.
Halafu wabunge wamejiongezea malipo, maRC wanatembelea magari ya Mil 600, hii nchi iviongozi wake wameoza akili
 
Back
Top Bottom