Mzee so utafika town saa sitaHali ya foleni huku mbagala ni balaa Sana Leo,magari yamesimama hayatembei Toka SAA 11 nipo barabarani sijafika hata roundabout ya rangi3. Hebu fikiria unaendesha gari na unapata muda WA kuperuzi mtandaoni hapa ndiyo utajua jinsi gani Hali ya foleni Leo ni Shidaaaa
Weather ikiwa hivi basi jiji hili pendwa ni foleni, mafuriko, na mashimo.Wakuu mvua imenyesha usiku kucha tupeane Hali halisi barabarani na ili tuchukue hatua. Jangwani kuna hali gani?
Ndugu yangu Leo kama ningekuwa njema mfukoni nisingetoka kabisaa home.Mzee so utafika town saa sita
Mkuu nashukuru kwa taarifa na pole kwa foleni. Ngoja nilale tu hadi mchana tuone itakuwajeHali ya foleni huku mbagala ni balaa Sana Leo,magari yamesimama hayatembei Toka SAA 11 nipo barabarani sijafika hata roundabout ya rangi3. Hebu fikiria unaendesha gari na unapata muda WA kuperuzi mtandaoni hapa ndiyo utajua jinsi gani Hali ya foleni Leo ni Shidaaaa
Duuh poleni aseeeKilwa road hio anaweza kufika saa nane. Kuna ujenzi lazima njia ambazo hazijakamilika zimejaa maji.
thank god hii haijatoka TMA...wale wangekuwa waganga kila siku wangepijwa na wateja waoWeather ikiwa hivi basi jiji hili pendwa ni foleni, mafuriko, na mashimo.
Ila ndio wenye magari wanapojikamatia pisi kali kiulaini sana.
View attachment 2042211