Hali sio nzuri kabisa chuo kikuu sekomu

Hali sio nzuri kabisa chuo kikuu sekomu

sabai

Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
69
Reaction score
7
wapenzi wanajamii na wanazuoni hali ni mbaya sanaaa ktk chuo cha sekomu, hii ni kutokana na chuo kutaka kujiendesha kwa kutegemea makosa ya wanachuo ktk kusajiri course kwa gharama ya asilimia 40 ukishindwa adhabu ni kutozwa shs.50000 kwa kila course pili ni kujiondoa chuoni na ikumbukwe kuwa serikali inawalipia baadhi ya wanafunzi ada ambayo inazidi asilimia 40 wanayo dai ili kusajili
 
hata sijakuelewa!
Ebu acha ushabiki, leta balanced story tena iliyofanyiwa utafiti unaoleweka.

Ni yepi maagizo ya uongzi wa chuo katika hili na je kuna by law zozote zimevunjwa au kipindishwa? Nini haki na wajibu wa mwanafunzi?

Kama sheria halali na taratibu elekezi kutoka chuoni hazikufuatwa na wanafunzi then your judgement is wrong. Na kama the opposite is true then uko sahihi. Na kama uko sahihi chukua hatua, change ni wewe na mimi, tena huanzia kwako for that matter
 
IMG_0978.JPG

Kifupi mimi bado sijakuelewa, umeandika kama wote tupo hapo SEKOMU. Tiririka zaidi.
 
Kwani Tanzania kumekuwa na serikali siku hizi? Je lile genge la wahuzi, wezi, wanyang'anyi, walaghai, wauwaji, wa nguvu mpya na ari mpya walishaondoka? Je hapo SEKOMU waliahidiwa maisha bora zaidi kuliko watanzania wengine? Mbona tunakuwa wasahaulifu kiasi hiki? Haya malalamiko kila kona ya nchi yetu ni matunda na matekeo ya ujinga na usahaulifu tulio nao sisi Watanzania tena kwa kujitakia kwa kukubali kuongozwa na wahuni.
 
Kwani Tanzania kumekuwa na serikali siku hizi? Je lile genge la wahuzi, wezi, wanyang'anyi, walaghai, wauwaji, wa nguvu mpya na ari mpya walishaondoka? Je hapo SEKOMU waliahidiwa maisha bora zaidi kuliko watanzania wengine? Mbona tunakuwa wasahaulifu kiasi hiki? Haya malalamiko kila kona ya nchi yetu ni matunda na matekeo ya ujinga na usahaulifu tulio nao sisi Watanzania tena kwa kujitakia kwa kukubali kuongozwa na wahuni.

umenena mkuu,,,.


our great mistake is to afraid doing positive changez
 
wapenzi wanajamii na wanazuoni hali ni mbaya sanaaa ktk chuo cha sekomu, hii ni kutokana na chuo kutaka kujiendesha kwa kutegemea makosa ya wanachuo ktk kusajiri course kwa gharama ya asilimia 40 ukishindwa adhabu ni kutozwa shs.50000 kwa kila course pili ni kujiondoa chuoni na ikumbukwe kuwa serikali inawalipia baadhi ya wanafunzi ada ambayo inazidi asilimia 40 wanayo dai ili kusajili
Nimechelewa kujibu ninadhani aliyeandika habari hii amekurupuka upo utaratibu sahihi na kwa wale wenye mkopo waliolipa kwanza pesa yao inajulikana itaendelea kulipia maswala mengine na pindi watakapo maliza chenji wata rudishiwa. Vilevile ni utaratibu wao unapoingia lazima ulipe pesa kidogo isiyofika laki 5 kwani uhakika kama utapata mkopo kwa wakatihuo haupo na pia unachelewa kuja so ni vyema unapotoa taarifa toaa ya ukweli na kina sio ya chuki au fitina au isio na uchunguzi wa kina. Shukrani.
 
Back
Top Bottom