BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
na bado kudadeki,ccm siku hizi mmekua wahuni,wezi na kununuliwa bei chee na akina mwiguluZipi mkuu za kupopoana mawe mpaka mauti inakukuta.
na bado kudadeki,ccm siku hizi mmekua wahuni,wezi na kununuliwa bei chee na akina mwiguluZipi mkuu za kupopoana mawe mpaka mauti inakukuta.
Mkuu aliyeuwawa ni mfuasi wa CCM kapigwa mawe mpaka kufa na wafuasi wa Chadema.
.mimi na sema safi sana ili viongozi waanze kutenda haki..huwezi kuponda mkutano wetu mbele ya polisi halafu tukakuchekea.
Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.TBC wameleta hii habari muda huu muandishi alikuwa anaripoti kutoka Singida anasema wafuasi wa Chadema wamemkimbiza mfuasi wa CCM mpaka nyumbani kwake wakamkamata kisha wakaanza kumshambuli kwa kupiga mawe ya kichwa mpaka huyo mfuasi wa CCM hakakata roho na kufa papo hapo wafuasi wa Chadema wakaondoka zao huku wakishangilia..
Inasikitisha sana sijui tunakwenda wapi Watanzania.
Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.
Hongera Chama cha Demokrasia na Maendeleo, wanairamba wamejua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera yetu. Peopleees Killer!!
CCM someni alama za nyakati!
Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.
Tuanze kumwaga ya mama yako ..kisha tufuate ya baba yako..tuendelee hivyo mpaka tuwamalize ukoo wenu mzima kisha
Tuhahamie kwengine...unauonaje huu mpango ?
wewe uhuni CCM imewafanyia watanzania zaidi ya nusu karne hujauona?