Hao ni waongo tu.Kampuni za simu zina cash flows kubwa sana.Sijui kama zinahitaji kwenda kuongeza mtaji pale DSE au stock exchange nyingine kama makampuni mengine yanavyoangaaika.Wana liquidity kubwa sana.Mm nafikiri hizi ni siasa tu.
ASerikali ya Awamu ya 5 ilichukua zaidi ya Bilioni 20 kutoka Account za Vodacom Tz plc kutoka mabenki tofauti NMB na NBC