Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,411
- 114,363
- Thread starter
- #141
..tatizo anaweza kufanya mambo ya kikatili mpaka yeye mwenyewe na watu wake wakaogopa kuondoka madarakani.
..ndiyo yaliyotokea Zimbabwe. Mugabe alianza kwa matumaini makubwa, ila akazidisha ukandamizaji kiasi kwamba akahisi kuondoka madarakani siyo salama.
..au yaliyotokea ZANZIBAR. hofu ni kwamba chama kingine kikishika madaraka watakwenda kufukua records za attrocities zilizotokea miaka iliyopita.
Magufuli sidhani kama atang’ang’ania madarakani.
Zama zimebadilika sana.