einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,673
DaahNikiwa kwa mtu fulani hapa hapa Dar nilisikia habari kuwa wale wakubwa wa awamu ya nne wana mpango wa kumfanya JPM awe rais wa kipindi kimoja.
Baada ya kuisikiliza hii clip nimegundua kuwa zile habari siku ile zilikuwa ni za kweli.
Na sasa ndio nimeelewa kwanini Lowassa na Rostam wamejiunga na bwana mkubwa, amehakikisha kabla ya 2020 anaimarisha timu yake ya ushindi.
Waliokula bata awamu ya nne wanataka kuendelea kula bata, nasikia hata wale jamaa wenye makombati ambao vidole vipo tayari kikazi, ni jamaa kutoka kwa Mzee Kagame.
Mpaka Naogopa Rafiki yangu...Mambo Mazito haya