Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Ushabiki wa kijinga sana huu, hali mbaya, hali mbaya, hali mbaya,...miaka yote Watanzania maisha yao ni haya haya tu, ni lini Watanzania walisikika wakisema sasa hali ni nzuri? Tokea mimi nimezaliwa sijawahi kusikia watu wakisema hali ni nzuri. Tuache unafiki na ushabiki wa kisiasa usiokuwa na tija.