Hali ngumu yaja: TANESCO - Press Release

Hali ngumu yaja: TANESCO - Press Release

Kwenye swala la umeme serikali imechemsha big time!!

Yani kama ukisikia kuvua samaki kwa mkono ndio hapo eti MKUKUTA, my foot!!!!

Kaka umesikia Japan wametangaza loadshedding for the next 2 years ? ...naomba tukijadili hali ya umeme tuangalie na kasi ya serikali kuijengea uwezo shirika kwa kuongeza vyanzo vya uzalishaji umeme...
 
Apa ni Usanii tu,Hivi hiyo Gesi ya Pan Africa ikitoka kisimani ni direct to the generators? Akuna matanki ya kuifadhi?
Ulaya yote watu wanatumia gesi,ata nyumba aliokuwa anaishi Osama ilikuwa na pipe ya gesi huko pakistan,inakuwagaje wakati wa Repair na inspection kama hizi zetu? Watu awapiki?No kuna kuwa na Matanki ambayo yanaifadhi gesi at least ya kutosha ata mwezi wakati wa services au dharura! Sasa designer wa hii pipeline akuweka reserve tanks? Hii ni hujuma tu na sio lingine
 
Apa ni Usanii tu,Hivi hiyo Gesi ya Pan Africa ikitoka kisimani ni direct to the generators? Akuna matanki ya kuifadhi?
Ulaya yote watu wanatumia gesi,ata nyumba aliokuwa anaishi Osama ilikuwa na pipe ya gesi huko pakistan,inakuwagaje wakati wa Repair na inspection kama hizi zetu? Watu awapiki?No kuna kuwa na Matanki ambayo yanaifadhi gesi at least ya kutosha ata mwezi wakati wa services au dharura! Sasa designer wa hii pipeline akuweka reserve tanks? Hii ni hujuma tu na sio lingine

Kaka, gesi inahifadhiwa kwenye hivyo visima, na kama umesoma press release mwanzoni watafunga vichache na baadae vyote, hiyo wamepanga wao wenyewe Panafrican ...

Gas inahifadhiwa kisimani ila inasafirishwa kwenye pipes...huko kwa Osama sina shaka serikali inamiliki visima vya gesi na inafanya maintenance shedule kwa wakati...sadly in TZ serikali ina share chache...wameshika mpini na wasipofanya hii maintenance pia ndio kuharibikiwa zaidi ( kiufundi)
 
Taratibu, power shortages which are currently ongoing can't be solved by having CDM or CUF right now...

Mtera is not full simply because the rains you see raining everywhere aren't raining there! So the level is going down and Mtera has the biggest reservoir than any of the other 4 dams!!

Much as TANESCO generate power thru gas IT DOESN'T OWN it!! Panafrican and TPDC does! We must understand that hydro and thermal generation are now at 50\50 so even if plants are available , gas has to be available too..and sadly that's beyond the parastatal's powers,

Can we now discuss how we can control visima vyetu vya gesi wenyewe and do aLl those PM's ourselves ?

CDM wakiingia ndio tutavi-control wenyewe kwani maelezo yako yanaonyesha kuna ufisadi hapo.
 
We live in a country where there is always no backup systems. Bora liende tu.

See Attached:

Badra Masudi ndio PR Officer unategemea press release itaeleweka kweli? Hivi sababu za kiufundi ndio 'corrosion'. kwa nini wasingesema "kwa sababu ya kulika (kuharibika) kwa mabomba ya kusafirishia gesi" (corrosion)? Kama ndio hivi yataanza kuvuja sio muda mrefu na madhara yake tunayasikia huko kwa wenzetu. Mlio karibu na mtandao wa mabomba yao mjiadhari.
 
Kaka, gesi inahifadhiwa kwenye hivyo visima, na kama umesoma press release mwanzoni watafunga vichache na baadae vyote, hiyo wamepanga wao wenyewe Panafrican ...

Gas inahifadhiwa kisimani ila inasafirishwa kwenye pipes...huko kwa Osama sina shaka serikali inamiliki visima vya gesi na inafanya maintenance shedule kwa wakati...sadly in TZ serikali ina share chache...wameshika mpini na wasipofanya hii maintenance pia ndio kuharibikiwa zaidi ( kiufundi)

Kaka umesikia Japan wametangaza loadshedding for the next 2 years ? ...naomba tukijadili hali ya umeme tuangalie na kasi ya serikali kuijengea uwezo shirika kwa kuongeza vyanzo vya uzalishaji umeme...

Taratibu, power shortages which are currently ongoing can't be solved by having CDM or CUF right now...

Mtera is not full simply because the rains you see raining everywhere aren't raining there! So the level is going down and Mtera has the biggest reservoir than any of the other 4 dams!!

Much as TANESCO generate power thru gas IT DOESN'T OWN it!! Panafrican and TPDC does! We must understand that hydro and thermal generation are now at 50\50 so even if plants are available , gas has to be available too..and sadly that's beyond the parastatal's powers,

Can we now discuss how we can control visima vyetu vya gesi wenyewe and do aLl those PM's ourselves ?

Nimesoma michango yako katika hii thread na naona contradiction moja. Umesema matatizo ya sasa hayawezi kuondolewa na CDM au CUF. Alafu hapo papo pia unaongelea uzembe wa serikali. Serikali ni nani kama sio sera za chama. Sioni ni kwa jinsi gani unaweza kuondoa serikali katika hili janga. Uozo uliopo umetoka kwa serikali. Matatizo ya Mtanzania yanaletwa na ccm!! huo ndio mwisho wa habari. The buck stops with ccm! WAZEMBE, WAJINGA, WEZI!
 
Badra Masudi ndio PR Officer unategemea press release itaeleweka kweli? Hivi sababu za kiufundi ndio 'corrosion'. kwa nini wasingesema "kwa sababu ya kulika (kuharibika) kwa mabomba ya kusafirishia gesi" (corrosion)? Kama ndio hivi yataanza kuvuja sio muda mrefu na madhara yake tunayasikia huko kwa wenzetu. Mlio karibu na mtandao wa mabomba yao mjiadhari.

hapo kwenye ishu ya corrosion

najaribu kukumbuka kemia ya form 1 pale Iyunga sec (enzi hizo combination pale skuli ilikuwa moja tu-PCM). kuna maswali ya kujiuliza hapa, ni condition zipi muhimu zinazohitajika kuwepo ili chuma au mabomba for this matter yapate corrosion?

mwalimu wangu alisema lazima kuwe na vitu viwili: maji na oksijeni. (maji si lazima yawe kama yale unayokunywa kwenye glass. hata mvuke kikemia ni maji pia). vitu hivi viwili vikiwa exposed kwenye metali, kikemia hutokea corrosion.

swali hapa ni je, gesi hii ya songosongo inasafirishwa kwenye bomba za material gani hata kuruhusu corrosion kutokea? au ndiyo tunaendeleza utamaduni wetu wa kuweka siasa kwenye mambo ya kitaalamu? hivi huyu badra masoud ni mhandisi au ni ngwini aliyesoma magogoni halafu leo ni afisa habari wa shirika la kihandisi (tanesco)?

mimi bado sijaridhika vizuri kuhusu hii dhana ya corrosion.

kwa maarifa zaidi gonga hapa chini:

How long does it take for natural gas to corrode copper pipes?
 
Hivi haiwekani kutunza hiyo gas kwenye cylinders/tanks kwa ajili ya matumizi wakati wa dharura?
 
Taratibu, power shortages which are currently ongoing can't be solved by having CDM or CUF right now...

Mtera is not full simply because the rains you see raining everywhere aren't raining there! So the level is going down and Mtera has the biggest reservoir than any of the other 4 dams!!

Much as TANESCO generate power thru gas IT DOESN'T OWN it!! Panafrican and TPDC does! We must understand that hydro and thermal generation are now at 50\50 so even if plants are available , gas has to be available too..and sadly that's beyond the parastatal's powers,

Can we now discuss how we can control visima vyetu vya gesi wenyewe and do aLl those PM's ourselves ?

What are you trying to tell us???.. That Mtera is only filled by the rains falling around it???... Hell NO!!!
 
*&%$#@!#@$$~!@^^$#$%^&()*&^%$#@#$ zenu Tanesco!!!
 
Sijawahi kuona taarifa au mipango mizuri toka tanesco zaidi ya mgao wa umeme. Hawana wanalofanya kwa hakika kwa kuwa hakuna mipango ya kuboresha umeme zaidi ya kufikiria kukodi.liniwatakuwa na mitambo yao wenyewe?
 
nchi za wenzetu watu wakikosa umeme mda wa kazi mameneja wa hilo shirika lazima wajiuzu bongo wanaendelea kupeta tuu. Niwakati sasa umefika tukikosa umeme watu watoke kwenye nafasi zao. manake hawajatuekea mipango ya maana kutuakikishia tunapate kile tunacholipia
 
Taratibu, power shortages which are currently ongoing can't be solved by having CDM or CUF right now...

Mtera is not full simply because the rains you see raining everywhere aren't raining there! So the level is going down and Mtera has the biggest reservoir than any of the other 4 dams!!

Much as TANESCO generate power thru gas IT DOESN'T OWN it!! Panafrican and TPDC does! We must understand that hydro and thermal generation are now at 50\50 so even if plants are available , gas has to be available too..and sadly that's beyond the parastatal's powers,

Can we now discuss how we can control visima vyetu vya gesi wenyewe and do aLl those PM's ourselves ?

I believe client - supplier relationship yenu na hawa PanAfrican or whoever it is, ni mbaya kupitiliza!! Katika kampuni nilizowahi kufanya kazi we used to have at least two equipments to support our major clients during times when emergencies occured! Tanesco kama major client wa hawa watu alitakiwa ademand huduma ya backup in case of emergency ili asiharibu mahusiano yake na wateja wake pia! Na kama hawakuweka clause kama hii kwenye mkataba basi Tanesco is in sh*t! Haiwezekani ukawa ni consumer mkubwa wa product afu ukawa unashindwa kuweka some conditions to protect ur interest in serving your customers!
 
Back
Top Bottom