Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Kuna siku nilienda kumetembelea Aunt angu pala Mwaisela..pembeni kulikuwa na binti mmoja aged 20+ anahema vibaya!!
manesi hawashughuliki nae zaidi ya mama mmoja(ndugu yake). badae kidogo yule mama akampa maji ya kunywa...haikupita muda yule binti kakata roho mbele yetu. Nesi kaja kamshika mshipa wa mkono katoka zake tunaona watu wa vitanda wanaanza kukunjakunja na kuufunika mwili.
Bahati nzuru nilikutana na mshkaji angu mmoja palepale anapiga field final yr, akaniambia hii ni hali ya kawaida kwa hapa Muhimbili na akanipa statistics kwamba kwa siku zaidi ya watu 40 wanakufa pale Muhimbili...!!
Sasa kama hii ni data za kweli basi hali ni mbaya sana. Sijaangalia bado Amana, Mwananyamala, Hindumandal...mahospital mengine nk....na nadhani baada ya Babu wa Samunge hope idadi inaweza ikazidi kipimo. Duh maisha hayana thamani tena Bongo hii.
manesi hawashughuliki nae zaidi ya mama mmoja(ndugu yake). badae kidogo yule mama akampa maji ya kunywa...haikupita muda yule binti kakata roho mbele yetu. Nesi kaja kamshika mshipa wa mkono katoka zake tunaona watu wa vitanda wanaanza kukunjakunja na kuufunika mwili.
Bahati nzuru nilikutana na mshkaji angu mmoja palepale anapiga field final yr, akaniambia hii ni hali ya kawaida kwa hapa Muhimbili na akanipa statistics kwamba kwa siku zaidi ya watu 40 wanakufa pale Muhimbili...!!
Sasa kama hii ni data za kweli basi hali ni mbaya sana. Sijaangalia bado Amana, Mwananyamala, Hindumandal...mahospital mengine nk....na nadhani baada ya Babu wa Samunge hope idadi inaweza ikazidi kipimo. Duh maisha hayana thamani tena Bongo hii.