GreenLight
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 303
- 537
SAna. Madege yapo JNIA pale yamekaa tu. Hizo pesa wangenunua hata mabasi 400 ya huu mradi. Kwanza basi 400 zingeingiza faida haraka kuliko midege iliyolala paleutakuta serikali inanunua ndege, wakati dege moja tu ni sawa na mabasi kama hayo zaidi ya 200. au ile mipesa wanaenda kulipa kwasababu walivunja mikataba vibaya, inatosha kabisa kuondoa hiyo adha. africa ni mindset tu ila resources tunazo.