Msanii huyu katoa picha halisi ya hali ilivyo Dodoma wakati huu.
View attachment 266986
Cheki waziri wa Keylimo alivyofunga vishkizo vyakeMsanii huyu katoa picha halisi ya hali ilivyo Dodoma wakati huu.
View attachment 266986
Mimi nimeona ma-MPs wengi wa JWTZ maeneo ya White House na katika makutano mbalimbali ya barabara kuelekea mkumbi mpya wa mikutano wa CCM!
acha utani wewe, si kazi ya JWTZ kulinda mikusanyiko ya raia.JWTZ wako standby
Tysoni kaka yangu, nani alikushauri ukachukue form zao???Ahahaaa...
![]()
Maandalizi ya kukatwa mtu hayo!Mimi nimeona ma-MPs wengi wa JWTZ maeneo ya White House na katika makutano mbalimbali ya barabara kuelekea mkumbi mpya wa mikutano wa CCM!
Daah, nimecheka sana. Maana kuna wengine watatimua mbio kabisaa!Daaa! mlango ukifunguka hapo halafu Nape atoke nje kwenda kununua vocha ya simu tu nadhani kuna wajumbe watazimia kwa kihoro!
Cheki waziri wa Keylimo alivyofunga vishkizo vyake
Huyu MHISHIMIWA aliyelala ni nani hasa?Ahahaaa...
![]()