Hali ilivyo Dodoma Wakati huu.

Hali ilivyo Dodoma Wakati huu.

Hao sita waliokaa (watano kwenye viti na mmoja sakafuni lakini ameegemea ukuta)wanaashiria kuwa tayari tano bora imeshapatikana, halafu Jaji Ramadhani mgombea mwenza. Wakifika Mkutano mkuu Bilal "anakatwa" kwa kuwa ni Mzenji,pamoja na wengine watatu (WN,Prof, na Mtoto wa mkulima) halafu BCM anapeperusha bendera. ENL kaweka mkono shavuni ameshajua matokeo!!!
 
Tafadhali mkuu tofautisha waliolala, waliokaa na waliosimama.
 
Wataota jua sana nyerere square
 

Attachments

  • 1436530674190.jpg
    1436530674190.jpg
    25.7 KB · Views: 1,192
Hasa nikimcheki jamaa yangu wa kupishanisha vifungo vya koti.
 
mkulima mbona hatumuoni au yy alitumwa kugeresha kwamba wana demokrasia?
 
Hao sita waliokaa (watano kwenye viti na mmoja sakafuni lakini ameegemea ukuta)wanaashiria kuwa tayari tano bora imeshapatikana, halafu Jaji Ramadhani mgombea mwenza. Wakifika Mkutano mkuu Bilal "anakatwa" kwa kuwa ni Mzenji,pamoja na wengine watatu (WN,Prof, na Mtoto wa mkulima) halafu BCM anapeperusha bendera. ENL kaweka mkono shavuni ameshajua matokeo!!!

nimependa uchambuz wako na hvyo ndivyo itakavyokuwa.
 
hao wamama km wamefiwa na mume wao ivi.polen sana mama zangu japo nyie ni msfisad tuu
 
Back
Top Bottom