Hali ilivyo Dar es Salaam Stock Exchange (DSE)

Hali ilivyo Dar es Salaam Stock Exchange (DSE)

Huyu Rais anaposema hakuna corona ana maana gani? Tujifunze kutokana na denial mode ya Thabo Mbeki kuhusu HIV iliyosababisha vifo vya mamilioni huko Afrika ya kusini!
 
Duh, watu hawana jema.
Jema litoke wapi? Anafanya yote madeni ya korosho bado, mawakala pembejeo, wazabuni mbali mbali, sijui bado uhakiki! Takwimu za Covid-19 hamna, hatuaminiki madereva wanasumbuka na vyeti,eti mmoja anasema alipima Arusha na kupewa cheti, Arusha kuna maabara ya kupimia Covid-19 au kupima joto? Tunashangaza sana!
 
Jema litoke wapi? Anafanya yote madeni ya korosho bado, mawakala pembejeo, wazabuni mbali mbali, sijui bado uhakiki! Takwimu za Covid-19 hamna, hatuaminiki madereva wanasumbuka na vyeti,eti mmoja anasema alipima Arusha na kupewa cheti, Arusha kuna maabara ya kupimia Covid-19 au kupima joto? Tunashangaza sana!
Kuna bwawa la umeme, Ubungo interchange, Reli ya umeme, Hospitali, vituo vya afya na zahanati. Elimu bure. Umeme vijijini.

Kuongezeka kwa access ya maji baadhi ya maeneo. Kuendelea kulipa mishahara watu na hali hii ngumu bila kupunguzia watu.
To mention but a few.
Hayo mkuu wewe hujaona?

Au ni chuki nichukie. Kisa umekosa wewe.
 
Tarehe 5 May 2020 hakuna hisa hata moja iliyouzwa. Yaani trading volume ni sifuri.

Dar es Salaam Stock Exchange ina kampuni 24 au 25 zilizosajiliwa.

Maana yake no selling or buying of shares. Hii niishara kua there is poor or low liquidity in the market

Wataalamu wa uchumi watatusaidia kujua kwa nini hali hii imetokea. Hii ni muujiza wa kwenye vitabu vya rekodi za Dunia.
View attachment 1469821
May be hali itakaa sawa July baada ya pesa kuingia kwenye mzunguko

Jr
 
Kuna bwawa la umeme, Ubungo interchange, Reli ya umeme, Hospitali, vituo vya afya na zahanati. Elimu bure. Umeme vijijini. Kuongezeka kwa access ya maji baadhi ya maeneo. Kuendelea kulipa mishahara watu na hali hii ngumu bila kupunguzia watu.
To mention but a few.
Hayo mkuu wewe hujaona?

Au ni chuki nichukie. Kisa umekosa wewe.
Mchango wa hovyo kabisa. Madaraja na hiyo DSE vinahusiana nini? Hisa inanunua Serikali? Umenikera sana! Tujitahidi akili zetu ziitegemee, na sio lazima kila uzi ukomment.

Mstaafu Mkapa siku ile pale Chamwino aliongea vizuri na kwa busara sana kwamba kila AWAMU Serikali imtekeleza yake. Mnasifia HD kuiharibia tena Chama.
 
Vyuma vimekaza haswaa.
Mzee Meko muda sio mrefu atatumbua mtu na atatuambia Meneja wa soko la hisa la Dar alikuwa anatumiwa na mabeberu kutuchafua.
 
Kwa hiyo unataka kusemaje? Hali ikoje kwenye masoko mengine ya hisa duniani? LSE, TSE,NSE etc mambo yakoje huko? Hii hali imesababishwa na nini? Aliyepost huu uzi utakuta msomi kabisa tena amesoma CFI, unashindwaje kuhusianisha kile ulichosoma na prevailing real situation? Hata usipopata ajira kwa miaka nenda rudi sitashangaa.Buuuure kabisa.
Fafanua basi msomi tujue
 
Unataka kulinganisha London Stock Exchange na Dar es Salaam? Dar tuna kampuni 25 na LSE ina zaidi ya kampuni 2600 kutoka zaidi ya nchi 60.

London stock exchange ina miaka 450 wakati DSE ina miaka 24.

Zero volume trading iliwahi kutokea miaka ya great economic depression lakini hii ya kwetu ya kutokea wakati hakuna mporomoko wa uchumi ni ajabu ya Dunia.

Nimekutajia hapo sababu ama hujaelewa?.

Unataka kulinganisha Newyork Stock Exchange na Dar es Salaam Stock Exchange?
Huna sababu ya kutukana ,jaribu kujibu kwa ustaarabu!
 
Mchango wa hovyo kabisa. Madaraja na hiyo DSE vinahusiana nini? Hisa inanunua Serikali? Umenikera sana! Tujitahidi akili zetu ziitegemee, na sio lazima kila uzi ukomment.
Mstaafu Mkapa siku ile pale Chamwino aliongea vizuri na kwa busara sana kwamba kila AWAMU Serikali imtekeleza yake. Mnasifia HD kuiharibia tena Chama.
Acha kukurupuka mimi nimemjibu alueniquote. Yeye ndie alitoka nje mimi nikamjibu kulingana na maelezo yake.

Kuwa makini unapofuatilia Comment ili uelewe comment ina muktadha gani. Sio kudandia gari kwa mbele na kuja na majibu ya hovyo.
 
Kuna bwawa la umeme, Ubungo interchange, Reli ya umeme, Hospitali, vituo vya afya na zahanati. Elimu bure. Umeme vijijini. Kuongezeka kwa access ya maji baadhi ya maeneo. Kuendelea kulipa mishahara watu na hali hii ngumu bila kupunguzia watu.
To mention but a few.
Hayo mkuu wewe hujaona?

Au ni chuki nichukie. Kisa umekosa wewe.
Mkuu isingefanya hayo ulitaka ifanye nn? Au haujui wajibu wa serikali? Issue ni zero volume of trade ya DSE wakati hakuna mdororo wowote wa uchumi.
 
Mkuu isingefanya hayo ulitaka ifanye nn? Au haujui wajibu wa serikali? Issue ni zero volume of trade ya DSE wakati hakuna mdororo wowote wa uchumi.
Kuna jamaa huko juu, analalamika serikali ijafanya kitu. ndio nikamwambia baadhi ndio hayo.
Inawezekama upo kwa Tanzania ila hatujaelezwa.
 
Mtoa mada kaomba wataalamu wa uchumi waelezee nini tatizo..sasa wanasiasa mapovu ya nini
 
Tarehe 5 May 2020 hakuna hisa hata moja iliyouzwa. Yaani trading volume ni sifuri.

Dar es Salaam Stock Exchange ina kampuni 24 au 25 zilizosajiliwa.

Maana yake no selling or buying of shares. Hii niishara kua there is poor or low liquidity in the market

Wataalamu wa uchumi watatusaidia kujua kwa nini hali hii imetokea. Hii ni muujiza wa kwenye vitabu vya rekodi za Dunia.
View attachment 1469821
Uchumi wetu upo vizuri. Tutembee vifua mbereeeee😂😂😂
 
Kuna bwawa la umeme, Ubungo interchange, Reli ya umeme, Hospitali, vituo vya afya na zahanati. Elimu bure. Umeme vijijini. Kuongezeka kwa access ya maji baadhi ya maeneo. Kuendelea kulipa mishahara watu na hali hii ngumu bila kupunguzia watu.
To mention but a few.
Hayo mkuu wewe hujaona?

Au ni chuki nichukie. Kisa umekosa wewe.
Hayo yote yafanyike, kama unahisi sehemu ya fedha zako ujalipwa kihalali, unategemea uone nini? Na mie nidhurumike nisitoe maoni yangu? Mie hapo sioni jema wakati nadai!
 
Tunakusanya Trillion 1.9 kwa mwezi hadi mabeberu yanatuoneaa wivu. Akitoka apo anamwambia doto na waziri wa fedha waombe pesa za korona toka IMF/ WB....Wanamyima alafu hasira zake anapeleka kwa wapinzani kuwa ndyo wamesababisha anyimwe mkopo.
Jana kazitupia kwa Dr Mwele, eti alipomfukuza wamemuajiri utadhani ajira za kimataifa ni za vimemo au bidii yako ya kuimba kwaya. Kule ni CV na qualifications zako ndizo zinazokubeba.
 
Tunaenda vizuri mbona

Matajiri kuishi kama mashetani na maskini kuishi kama malaika

Tumeibiwa saaaana

Utekelezaji wa ilani huo
 
Yule jamaa akimkamata kigogo hakika atamfira..
Tunakusanya Trillion 1.9 kwa mwezi hadi mabeberu yanatuoneaa wivu. Akitoka apo anamwambia doto na waziri wa fedha waombe pesa za korona toka IMF/ WB....Wanamyima alafu hasira zake anapeleka kwa wapinzani kuwa ndyo wamesababisha anyimwe mkopo.
 
Kuna siku nilitaka kununua hisa za bank, nilivyoingia kuangalia nikaona kama na beti eti! yaani;
CRDB=150
DCB=340
NMB= ilikuwa inauzwa kwa zaidi ya 1000 yaani nikaona kama nabeti live.
 
Back
Top Bottom