Hali ilivyo Dar es Salaam Stock Exchange (DSE)

Hali ilivyo Dar es Salaam Stock Exchange (DSE)

Kuna siku nilitaka kununua hisa za bank, nilivyoingia kuangalia nikaona kama na beti eti! yaani;
CRDB=150
DCB=340
NMB= ilikuwa inauzwa kwa zaidi ya 1000 yaani nikaona kama nabeti live.
Leo, bei ya NMB ni 2340 na CRDB ni 185. Ungenunua NMB, thamani imeshadouble...
 
Wakati huo angenunua CRDB au DTB angekula hasara
Yah, ndio biashara. Ni kutafuta possibility za faida zaidi kuliko hasara. Japo hasara haikwepeki. Another thing, hisa co za kununua na kuuza in a year or two, bora ununue, uhold, uendelee tu kula divident yearly
 
Back
Top Bottom